BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 6,182
- 11,782
Kuna Jamaa Angu Ameajiriwa Ualimu Mwaka Jana Na Alimaliza Sauti Mtwara.Kuna Jamaa Kaja Kaja Anataka Amuazime Cheti Chake Cha Kidato Cha 4 Ili Apate Kazi.Jamaa Kasema Anatoa Million Moja Na Jamaa Amekataa Kwa Kuhofia Ajira Yake Kwa Sasa.Je Kama Angekubali Ni Madhara Gani Yangetokea Wadau...