KWa mara nyingine, Leo tarehe 19 August, 2011, John Shibuda ameamua kuitukana tena CHADEMA. Anaiita chama masilahi, na uongozi wake ni wa kidikteta. Nauliza, CHADEMA wanamuogopea nini hata wanamuacha anawachafua kiasi hiki? Hivi wakimwaga watakosa nini? Angalia hii link hapo chini ujionee upupu wake.
Last edited by a moderator: