Hivi Chadema ina mwanasheria kweli?

Hivi Chadema ina mwanasheria kweli?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,154
Reaction score
30,849
Hayupo, hana uwezo au viongozi wa Chadema masalia hawamuamini?

Kulikoni viongozi wa Chadema masalia ndio wanabwabwaja zaidi mambo ya kisheria zaidi ya mwanasheria mwenyewe?

Kama yupo, sidhani kama anaweza kuwasaidia chochote kuhusu sheria na Chadema masalia wakafanikiwa.

Mungu Ibariki Tanzania.
 
naona katuga alipoambiwa anabwabwaja na nguli wa sheria TAL, basi na nyie mbogamboga mnadhani mnaweza kusema mtu anabwabwaja
 
naona katuga alipoambiwa anabwabwaja na nguli wa sheria TAL, basi na nyie mbogamboga mnadhani mnaweza kusema mtu anabwabwaja
jamaa una low IQ sana gentleman,
kwahiyo kama maji yanaitwa maji kwa kiswahili,
ulitaka mtu mwingine ayaitaje hata kama wewe umeyataja mapema? mma au?

kubwabwaja ni kubwabawaja tu gentleman
 
Hayupo, hana uwezo au viongozi wa Chadema masalia hawamuamini?

Kulikoni viongozi wa Chadema masalia ndio wanabwabwaja zaidi mambo ya kisheria zaidi ya mwanasheria mwenyewe?

Kama yupo, sidhani kama anaweza kuwasaidia chochote kuhusu sheria na Chadema masalia wakafanikiwa.

Mungu Ibariki Tanzania.
Punguzeni kuandika uzushi na upuuzi kila dakika
 
Punguzeni kuandika uzushi na upuuzi kila dakika
tuliza mihemko gentleman,
ni muhimu wadau wa JF wakafahuamu,
huyo mwanasheria pale chadema masalia yupo au hayupo?

au yupo kama hauypo vile chamani?
mbona rahisi tu na unaweweseka hivyo ndugu mdau?
 
Si unaona kila mara mahakamani huwa anakuja na t-shirt zenye jumbe tofauti.
korokoroni kumemfanya awe mbunifu,
ila minyoo sijui kaipatia wapi, anakujana na msosi kabisa kizimbani
 
Hayupo, hana uwezo au viongozi wa Chadema masalia hawamuamini?

Kulikoni viongozi wa Chadema masalia ndio wanabwabwaja zaidi mambo ya kisheria zaidi ya mwanasheria mwenyewe?

Kama yupo, sidhani kama anaweza kuwasaidia chochote kuhusu sheria na Chadema masalia wakafanikiwa.

Mungu Ibariki Tanzania.
Bata kweli wewe, dadako samia ana akili hata kwa bakuli hazijai...afu eti mshauri wake mkuu bashite - hivi tuna Tanganyika kweli?

Na nyie JWZT muwe mnatumia akili walau kidogo, hii si Tanganyika ambayo waasisi waliipigania, hili sasa ni pango wa wanyanganyi, tena wa kutumia silaha.

Taifa gani linathubutu kuua vijana zaidi ya 10,000 kisa tu etimadaraka, upumbavu. Hebu tuache huu ujinga haraka sana.
 
Hayupo, hana uwezo au viongozi wa Chadema masalia hawamuamini?

Kulikoni viongozi wa Chadema masalia ndio wanabwabwaja zaidi mambo ya kisheria zaidi ya mwanasheria mwenyewe?

Kama yupo, sidhani kama anaweza kuwasaidia chochote kuhusu sheria na Chadema masalia wakafanikiwa.

Mungu Ibariki Tanzania.
Inabidi tuwe tunachagua maandiko ya kusoma! Walevi wa damu za watanzania kama wewe hufai! Ona unavyoandika kingumbaru!
 
Inabidi tuwe tunachagua maandiko ya kusoma! Walevi wa damu za watanzania kama wewe hufai! Ona unavyoandika kingumbaru!
hilo ni jambo muhimu, huru na binafsi gentleman,
porojo na uzushi kama huo unaojaribu kuuleta jukwaani badala ya kujikita kwenye hoja ni kitu nonsense sana aise mtu kusoma!
 
Bata kweli wewe, dadako samia ana akili hata kwa bakuli hazijai...afu eti mshauri wake mkuu bashite - hivi tuna Tanganyika kweli?

Na nyie JWZT muwe mnatumia akili walau kidogo, hii si Tanganyika ambayo waasisi waliipigania, hili sasa ni pango wa wanyanganyi, tena wa kutumia silaha.

Taifa gani linathubutu kuua vijana zaidi ya 10,000 kisa tu etimadaraka, upumbavu. Hebu tuache huu ujinga haraka sana.
tuliza mihemko kuku,
changia hoja bila mihemko wala kuwewseka itapendeza zaidi,

jiepushe na porojo nonsense jukwaani.
 
Back
Top Bottom