Hivi Chadema ina mwanasheria kweli?

Hivi Chadema ina mwanasheria kweli?

Hayupo, hana uwezo au viongozi wa Chadema masalia hawamuamini?

Kulikoni viongozi wa Chadema masalia ndio wanabwabwaja zaidi mambo ya kisheria zaidi ya mwanasheria mwenyewe?

Kama yupo, sidhani kama anaweza kuwasaidia chochote kuhusu sheria na Chadema masalia wakafanikiwa.

Mungu Ibariki Tanzania.
Ila ww utakuwa chizi HIVI ulitangaza kuwa Chadema imekufa, lisu kaiua, chauma umemwachia nani
Sasa unazungumzua chadema ipi kiongozi
 
Hayupo, hana uwezo au viongozi wa Chadema masalia hawamuamini?

Kulikoni viongozi wa Chadema masalia ndio wanabwabwaja zaidi mambo ya kisheria zaidi ya mwanasheria mwenyewe?

Kama yupo, sidhani kama anaweza kuwasaidia chochote kuhusu sheria na Chadema masalia wakafanikiwa.

Mungu Ibariki Tanzania.
Bwabwa la Abdul Huwa linaridhishwa kweli au linatepeteshwa tu
 
Hayupo, hana uwezo au viongozi wa Chadema masalia hawamuamini?

Kulikoni viongozi wa Chadema masalia ndio wanabwabwaja zaidi mambo ya kisheria zaidi ya mwanasheria mwenyewe?

Kama yupo, sidhani kama anaweza kuwasaidia chochote kuhusu sheria na Chadema masalia wakafanikiwa.

Mungu Ibariki Tanzania.
Chizi karogwa tena
 
vitu chadame inapitia hata Mungu hapendi ni swala la muda tu
 
hilo ni jambo muhimu, huru na binafsi gentleman,
porojo na uzushi kama huo unaojaribu kuuleta jukwaani badala ya kujikita kwenye hoja ni kitu nonsense sana aise mtu kusoma!
Hoja mavi kama zako si hoja! ni za kuepuka!
 
Back
Top Bottom