mawazo ya mwanadamu asiyemjua Mungu siku zote ni machafu, chochote aonacho yeye huwaza mabaya. hapo anayeshangaa siyo huyo mtoto, ni wewe ambaye pengine kuna roho ya uzinzi inakutafuna. kuna siku moja kiburi cha wanadamu wote wanaomkataa Mungu kitaisha, pale dunia itakapokunjwa kama karatasi la mkononi, kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe, kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe, kila mtu aipime kazi yake mwenyewe, Mungu awasaidie.
Huhitaji mungu kuikunja dunia kama karatasi la mkononi, the forces of nature are sufficient for that. And entropy as espoused in the second law of thermodynamics dictates that one day not only the earth, but also the entire universe, must fold.
So there you are, you do not need to invoke god in an old testament prophecy like diatribe to scare people, nature is scary enough. Luckily we have time, or so it appears. That is unless we nuke ourselves out or get hit by some funky asteroid.
so you mean you don't recognise God's power, but earthly nature? where you created by nature? you know that god holds your breath this time you are speaking?
Naona siku hizi na mambo ya utandawazi watoto wameanza kujua mambo makubwa wakiwa wadogo kabisa. Sasa mwangalie huyu anavyoangalia nyonyo kwa jicho la tamaa utafikiri "akipewa" ataweza vile.
so you mean you don't recognise God's power, but earthly nature? where you created by nature? you know that god holds your breath this time you are speaking?
Rudi shuleni ukasome tena somo la jiografia mada ya MAP READING AND PHOTOGRAPH. Huyo mtoto anamwangalia mtu ambaye hayupo hapo katika hiyo picha lakini yupo pembeni mbali kidogo na huyo dada anayekata keki kusherehekea siku ya kuzaliwa kwake.
Unaacha kuwaza vitu vya maendeleo wee unawaza ngono tu, mwanahizaya mkubwa wee, USHINDWE NA ULEGEE KWA JINA LA BWANA ALIYENENA NA MUSSA KATIKA MLIMA SINAI.
mawazo ya mwanadamu asiyemjua Mungu siku zote ni machafu, chochote aonacho yeye huwaza mabaya. hapo anayeshangaa siyo huyo mtoto, ni wewe ambaye pengine kuna roho ya uzinzi inakutafuna. kuna siku moja kiburi cha wanadamu wote wanaomkataa Mungu kitaisha, pale dunia itakapokunjwa kama karatasi la mkononi, kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe, kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe, kila mtu aipime kazi yake mwenyewe, Mungu awasaidie.
Hivi mwanaizaya ndo mtu wa aina gani? seems like a nice name to me!Rudi shuleni ukasome tena somo la jiografia mada ya MAP READING AND PHOTOGRAPH. Huyo mtoto anamwangalia mtu ambaye hayupo hapo katika hiyo picha lakini yupo pembeni mbali kidogo na huyo dada anayekata keki kusherehekea siku ya kuzaliwa kwake.
Unaacha kuwaza vitu vya maendeleo wee unawaza ngono tu, mwanahizaya mkubwa wee, USHINDWE NA ULEGEE KWA JINA LA BWANA ALIYENENA NA MUSSA KATIKA MLIMA SINAI.
Hivi mwanaizaya ndo mtu wa aina gani? seems like a nice name to me!
Nina mashaka hata aliyelitumia hajui tafsiri sahihi ya hilo neno.