kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,506
- 18,872
kwani hujui soda ni aina ya dawa kwa baadhi ya wagonjwa ,dokta huwa anaandika kabisa kuwa huyu apatiwe dawa aina ya sod ndio maana wagonjwa wengi hawapewi bia wanapewa soda
nilikuwa sifahamu....
kwani hujui soda ni aina ya dawa kwa baadhi ya wagonjwa ,dokta huwa anaandika kabisa kuwa huyu apatiwe dawa aina ya sod ndio maana wagonjwa wengi hawapewi bia wanapewa soda