mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 22,312
- 55,971
kusema kweli mimi mpaka leo bei ya soda siiijui ukienda madukani ni sh 600,bar 700,800,au 1000,sijawahi kusikia 900 sijui kwa nini wameiruka au ndio kukwepa ile una mia nikupe mia mbili,kwenye mahotel inaanzia 1500 mpaka 10,000,huko sina tatizo tatizo ni bar matokeo yake ukienda bar unaanza kuuliza bei kabla hujahudumiwa