OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Wanajamvi nashangazwa na haya matangazo lukuki toka tanesco kwenye tv? Hivi huyo badra masoud anayeidhinisha matangazo haya wakati kazi yake imetangazwa na wakati akijua hatuna umeme wa uhakika ana nia gani? Je ni kutafuna fedha za mwisho mwisho ama ni ufisadi? Tujadili