Hivi bado wamachinga hawatakiwi kulipa Kodi?

Hivi bado wamachinga hawatakiwi kulipa Kodi?

WilsonKaisary

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2017
Posts
392
Reaction score
951
IMG_20200617_145440.jpg


Ni takribani mwaka Sasa toka utoaji wa vitambulisho kwa gharama ya 20,000 tu. Na Mhe Raisi kutoa tamko kuwa watu Hawa wamachinga hawatokuwa wakikwata Kodi wakishalipa na kupata 20,000 hiyo.

Lakini kwa Sasa TRA na maafisa kata na wa vijiji wanakuja wanadai ushuru, Sasa tunashindwa kuelewa hapa.

Au lilikuwa tamko la mwaka mmoja tu? Na sio endelevu tena?
 
Back
Top Bottom