Hivi Ally Mufuruki kwanini anajiamini sana?

Hivi Ally Mufuruki kwanini anajiamini sana?

Levels baby

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
832
Reaction score
770
Huyu ni moja ya watu wanaojiamini sana katika nchi hii

tapatalk_1573048826219.jpeg
 
Huyu ni moja ya watu wanaojiamini sana katika nchi hii
View attachment 1255730

Yaani jinsi mawe alivyoogopesha wanadamu TZ ni hata watu wanaojuana wakikutana wasisalimiane?

Tanzania hatujawahi fika huko!

Upumbavu wa mtu mmoja usifanye hadi ndugu wanaotoka sehemu moja eti wasisalimiane au kujuliana hali kisa mtu fulani ataona!

Wivu wa kike huo na ni mbaya sana!

Atakufa yeye awaache akina Mufuruki wanaishi kwa amani mioyoni!
 
Wote wawili wako so bright .Mufuruki ana akili nyingi mno na Professor Assad Ana akili Sana Tena Sana tatizo lao moja tu kubwa they don't know how to get along with other people and don't have spirit of teamwork and team responsibity .May be it is due to their religious upbringing that teaches them to scorn others who are not of their faith as inferior.

But as far as I am concerned Ali Mfuruki is one of the few Tanzanians who have certified highest IQ.
 
Wote wawili wako so bright .Mufuruki ana akili nyingi mno na Professor Assad Ana akili Sana Tena Sana tatizo lao moja tu kubwa they don't know how to get along with other people and don't have spirit of teamwork and team responsibity .May be it is due to their religious upbringing that teaches them to scorn others who are not of their faith as inferior.

But as far as I am concerned Ali Mfuruki is one of the few Tanzanians who have certified highest IQ.
Acha hizo, mental inferiority brings self humiliation.
Sijui kwa nini watanzania tunapenda kujikomba komba ndo tutambuliwe.
 
Wote wawili wako so bright .Mufuruki ana akili nyingi mno na Professor Assad Ana akili Sana Tena Sana tatizo lao moja tu kubwa they don't know how to get along with other people and don't have spirit of teamwork and team responsibity .May be it is due to their religious upbringing that teaches them to scorn others who are not of their faith as inferior.

But as far as I am concerned Ali Mfuruki is one of the few Tanzanians who have certified highest IQ.
Hii yehodaya umeiandika kwa maumivu najua kwasasa praise team kumsifu cag assad Ni vigumu sana
 
Labda kama unamaana ingine,lakini sijaona chakumchukiza Jiwe kwenye hayo maelezo ya huyu Billionaire.
Labda utume hayo maelezo mengine uliyoyaona mpaka ukahisi Ally anajiamini sana kama ulivyo andika.
Mkuu sidhani kama ilielewa huo ujumbe kwasababu sioni neno baya katika quote yake
 
Acha umbea wewe mvulana, unataka amwogope JIWE/MEKO?

Ana hela zake , anajua kingereza MEKO hajui.
ana makampuni n connection na hana mawazo ya kimaskini, kwanini asijiamini?

Una roho mbaya ya UVCCM, damu za watu zi mikononi mwenu, mnafikiri mmemkomoa ASSAD kumbe chura kapigwa teke, kaenda zake UN na marekani kwenye biashara zake
Nashauri Waislamu waweke ajenda ya kubaguliwa kuwaondoa ccm madarakani, wajiunge na upinzani bila kujali chama ili Mecco 2020 iwe ndo mwisho wake ila mkisubiri 2025 mkidhani atapewa muislamu msahau kabisa, unganeni na upinzani muweke mgombea ambae ni muislamu Mecco atang',oka
 
Wote wawili wako so bright .Mufuruki ana akili nyingi mno na Professor Assad Ana akili Sana Tena Sana tatizo lao moja tu kubwa they don't know how to get along with other people and don't have spirit of teamwork and team responsibity .May be it is due to their religious upbringing that teaches them to scorn others who are not of their faith as inferior.

But as far as I am concerned Ali Mfuruki is one of the few Tanzanians who have certified highest IQ.
Sio rahisi intelligent people to get along well with the "below average minds".
 
Acha hizo, mental inferiority brings self humiliation.
Sijui kwa nini watanzania tunapenda kujikomba komba ndo tutambuliwe.
Mimi nijikombe kwa Ali Mfuruki au Profesa Assad kwa lipi? Waislamu wako wenye akili nyingi mno Tena Sana Yuko profesa Lipumba,Yuko Dr Dau,Yuko Mufuruki Yuko Profesa Assad,Kinana,Profesa Kapuya nk waliibuliwa na Mwinyi na Kikwete Kuna wengine walioibuliwa na awamu hizo mbili hasa, ambao nimewasahau wanisamehe bure lakini tatizo lao ni incompatibility with others whether seniors or juniors whether of their faith or not.

Nadhani wanazuoni wa kiislamu Wana kazi kubwa ya ku train mind za Waislamu wenye akili nyingi jinsi ya kuwa compatible kwenye society ya watu wenye imani tofauti na wao ili ku go further with their high intelligence.
 
Mafuruki Yuko anasomeshwa no. Maduka yake ya Woolworth yalisomeshwa No. na TRA kipindi kichere akiwa boss wa TRA mpk Mafuruki akalalamika mitandaoni.

Mafuruki pia akiwa ni mmoja wa watu waliompigania sana Magu kwny uchaguzi akiwa bega kwa bega na wakina Maria Sarungi na Yule boss wa Twaweza aliyenyang’anywa passport.

Inshort bwn yule hana rafiki,wote waliompigania labda kasoro Che Nkapa ndo amemsitiri ila wengine karibu wote wanapitishwa Ubatizo wa moto.
 
Back
Top Bottom