Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,088
- 136,602
Unamjua sana kudadadadadeki
Unapenda kula makombo?
Unamjua sana kudadadadadeki
Salam zmefika. Asante sana kwa hapo kwenye bold! tutakuja hapa kupima... lol!i know i know pax,kubwa just be yourself,don't push things,acha flow ichukue mkondo wake,inshallah Mungu atakupeni nguvu.msalimie Tina.
Ulikuwa hujui? Sisi ni watu wa action bana,maneno machache vitendo zaidi.
Unakimbia nini?
Erick yupi wamwita weye ni @ erickb52? Wamtaka? Unataka kunipiga chini baby? Kosa langu nini mie mtoto wa kiume? Kukutaka?
..sema mai bebiibebii....
..achana naye huyo...saa hii unajifanya hujui.....
Kuna vitendo vingine havifai....Hayo mambo ya HIV online ya kujitakia ya nini? Mie nahisi hapa chiti chati kuna pepo la ngono
K ni barabara ya lami,mkoko ukipita hauachi alama.
Kuna vitendo vingine havifai....Hayo mambo ya HIV online ya kujitakia ya nini? Mie nahisi hapa chiti chati kuna pepo la ngono
@ erickb52 simwamini hata chembe,mkewe kanipigia simu anasema ana wiki hajalala nyumbani.