YonDu Udonta
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 723
- 569
Wakuu habari za muda huu!
Leo nimekutana na mkanganyiko wa majibu ya HIV test baada ya kumpima girlfriend wangu...
Kwanza ilionesha Single Line Kwenye Control "C" baada ya dk 5-10 hivii tangia nilivompima.
Nikakiweka pembeni nikapiga nae story lakini nlivoenda kuangalia baada ya dk 70 hivii nikakuta mistari 3 yanii kwenye 1, 2 na C
Wakubwa hapo ina maana gani
Leo nimekutana na mkanganyiko wa majibu ya HIV test baada ya kumpima girlfriend wangu...
Kwanza ilionesha Single Line Kwenye Control "C" baada ya dk 5-10 hivii tangia nilivompima.
Nikakiweka pembeni nikapiga nae story lakini nlivoenda kuangalia baada ya dk 70 hivii nikakuta mistari 3 yanii kwenye 1, 2 na C
Wakubwa hapo ina maana gani