Najiuliza hatima ya huyu mtu kisiasa
ndo kusema ubunge haumfai yeye anafaaa kuwa raisi tuuu na ya uraisi yakimshinda jee??
Ebu mshauri jmaa huyu great thinkers
Kwani mmeambiwa huko unyamwezi kuna shida ya wabunge? Au yeye bila ya ubunge hawezi kuishi? Wanaume mnatabia za kike?
Hawezi kujenga hoja, jinsi anavyoongea! ni kama komedi, anafaa kuziba pengo la kanumba.