Hiv hii picha mbona kama ipo edited

Hiv hii picha mbona kama ipo edited

RGforever

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
6,877
Reaction score
5,444
Mlimani City na Kikwete... KAma Hawajakanyaga Chini vile. Na Ni weupe kuliko Wengine
 

Attachments

  • 1447512699909.jpg
    1447512699909.jpg
    45.8 KB · Views: 4,970
Ziwe edited, ziwe painted no one cares!. The most important ni kwamba familia yao ni adui wa taifa. Kwanza tangu lini kile kijimama kikawa kirefu kuliko vasco?

nadhani unaendeshwa na akili ya mbowe ohoo mwenzenu mpiga dili tu yule na nadhani uliaminishwa lowasa atakua raisi wa Tanzania anyway ni mtazamo wako
 
nadhani unaendeshwa na akili ya mbowe ohoo mwenzenu mpiga dili tu yule na nadhani uliaminishwa lowasa atakua raisi wa Tanzania anyway ni mtazamo wako

Jina lako linakuondolea sifa ya kuniandikia lolote. Potea!
 
Hapana.ni yeye huyo alikuja kufanya shopping game Jana.nilimuona kwa macho yangu.
Siunajua baba Riz ni muuza sura tu.
Alikua na my wife wake.
 
Ziwe edited, ziwe painted no one cares!. The most important ni kwamba familia yao ni adui wa taifa. Kwanza tangu lini kile kijimama kikawa kirefu kuliko vasco?

Wewe ni adui wa nafsi yako.

Kakukosa nini Kikwete hata uwe na chuki kiasi hicho?

Au uliachishwa kazi serikalini kwa wizi?
 
Mlimani City na Kikwete... KAma Hawajakanyaga Chini vile. Na Ni weupe kuliko Wengine

Ni kweli kabisa hata picha ya mkubwa hapo anaonekana kama imepigwa usiku wakati ni ilikuwa mchana alipokwenda afu yupo nyuma ya mama s
 
Ziwe edited, ziwe painted no one cares!. The most important ni kwamba familia yao ni adui wa taifa. Kwanza tangu lini kile kijimama kikawa kirefu kuliko vasco?
Inauadui na wewe na siyo hata ndugu zako
 
kama anapaaa heeee na board guard haonekani mhuuuuu aya bana
 
Mlimani City na Kikwete... KAma Hawajakanyaga Chini vile. Na Ni weupe kuliko Wengine

Halafu hiyo shopping mbona Sioni wamebeba kitu chochote walichonunua zaidi ya mama kuchukua kipima joto chake! Au trolley limetangulia???
 
Back
Top Bottom