Hiv hii picha mbona kama ipo edited

Hiv hii picha mbona kama ipo edited

Hiki ni kitu cha ufahari - raisi kandoka madarakani muda wake ulipoisha - huyu raisi kafanya mengi sana mandeleo nchini atakumbukwa sna ktika historia ya Tanzania. Hongera Kikwete
 
katika watu ambao hawajui hata wanachofanya na wanacho taka kufanya na asie na kazi za kufanya ni huyu aliye kaa chini sijui katumia masaa mangapi akatoa product kama hiyo, unajua ni heri upoteze muda kutumia taaluma yako hata kama ni ya ku edit utoe kitu kinacho endana na ulicho fikiria kufanya kuliko huu upuuzi
 
Ziwe edited, ziwe painted no one cares!. The most important ni kwamba familia yao ni adui wa taifa. Kwanza tangu lini kile kijimama kikawa kirefu kuliko vasco?

Daah mkuu taratibu
 
MTANZANIA Jumamosi ambalo muda wote lilikuwa likimfuatilia Rais Kikwete na mke wake, lilishuhudia wakiingia katika maduka ya Game na kufanya manunuzi kwa dakika zisizopungua 10 hadi 15 na baadaye kutoka nje na walinzi wake wakionekana kubeba mifuko iliyokuwa na bidhaa walizonunua.
 
Zimeungwa hizo picha. Hata mtoto wa nursery atagundua.
 
Ziwe edited, ziwe painted no one cares!. The most important ni kwamba familia yao ni adui wa taifa. Kwanza tangu lini kile kijimama kikawa kirefu kuliko vasco?

Chuki haisaidii kijana. Kuwa msamehevu si kwa sababu watu wanastahili kusamehewa bali wewe unasamehe kwa sababu wewe unastahili amani ya moyo wako.
 
attachment.php

-Walipiga mchana lakini hamna kivuli.
-JK ni futi sita, Salma ni kama 5'7 hivi na ktk picha wapo sambamba, JK ilitakiwa aonekane ni mrefu zaidi ya Salma ila wako sawa kwa kimo kutokana na hiyo picha.
-Picha zimewekwa zimekuwa nyembba mno.
-wanaonekana wanaelea hewani.
-Hawaoneshi ni kitu gani angalau wamebeba baada ya kununua, angalau mmoja wapo angebeba hata kamfuko 'ka rambo' huku trolley likiwa limetangulia.
-JK bado ana ulinzi mzito tu, wangeonekana baadhi ya walinzi au angalau mlinzi nyuma.
 
Ziwe edited, ziwe painted no one cares!. The most important ni kwamba familia yao ni adui wa taifa. Kwanza tangu lini kile kijimama kikawa kirefu kuliko vasco?
Adui wa wavivu, kama JK kamaliza muda wake na wewe ni mtu mzima haujafanya cha maana, haujajenga, haujanunua kiwanja, haujanunua shamba, haujaanza maisha ya familia, haujaanza kujitegemea, haujajiajiri au kuajiriwa, sahau!
Jamaa kafungua milango mpaka vipofu 'wameona' na wamejiajiri.
 
Kina roho mbaya linapokuja suala la kumfitini mtu, ni balaa. Kilimfitini Salim A. Salim hana hamu. Kimemfitini Lowasa usipime. Chuo chake cha fitina kipo kariakoo Saigon, kingine kipo Bagamoyo. Akili ya maendeleo ni ziro, ila kwa kukopa bila mpango kinaongoza duniani. Safari sisemi kitu.
 
katika watu ambao hawajui hata wanachofanya na wanacho taka kufanya na asie na kazi za kufanya ni huyu aliye kaa chini sijui katumia masaa mangapi akatoa product kama hiyo, unajua ni heri upoteze muda kutumia taaluma yako hata kama ni ya ku edit utoe kitu kinacho endana na ulicho fikiria kufanya kuliko huu upuuzi

Mkuu hii picha imepogwa na wala sio ya kutengeneza. Mimi nimemuona kwa macho yangu.
 
Kina roho mbaya linapokuja suala la kumfitini mtu, ni balaa. Kilimfitini Salim A. Salim hana hamu. Kimemfitini Lowasa usipime. Chuo chake cha fitina kipo kariakoo Saigon, kingine kipo Bagamoyo. Akili ya maendeleo ni ziro, ila kwa kukopa bila mpango kinaongoza duniani. Safari sisemi kitu.

Mkuu hii ni picha halisi.
 
Back
Top Bottom