St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,635
- 4,519
Wataalam wa tiba na wanazuoni wengine.
Je, kuna ukweli wowote kuwa mtu mwenye blood group O+ au B- na akiwa na ule ugonjwa wa upungufu wa damu(SICKLE CELL)au hata genes za ugonjwa huo (SICLE CELL) hawezi kupata HIV hata kama akiongezewa damu yenye virus wa UKIMWI?.
Na nimesikia tetesi kuwa virus hawawezi kuishi kwenye mwili wa mtu huyo. Ni kweli ndugu zangu au ni urban legends tu zenye lengo la kupotosha watu
Je, kuna ukweli wowote kuwa mtu mwenye blood group O+ au B- na akiwa na ule ugonjwa wa upungufu wa damu(SICKLE CELL)au hata genes za ugonjwa huo (SICLE CELL) hawezi kupata HIV hata kama akiongezewa damu yenye virus wa UKIMWI?.
Na nimesikia tetesi kuwa virus hawawezi kuishi kwenye mwili wa mtu huyo. Ni kweli ndugu zangu au ni urban legends tu zenye lengo la kupotosha watu