msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,189
Asitutishe kweli....... Kuna homa ya ini, kansa, kisukari, watu walah hawajadili, wanakuja kujadili swala la Kupungua kinga tu,....... Wakati hayo mengine ni hatari kuliko hata Kupungua kinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakosa kufa kwa ukimwi, anabutuliwa na bodaboda, hachukui Muda anakata moto........ Hivi vitu tunavichukulia serious sana ila aaaaaah..... Kufa kupo tu, sasa shida ni utakufaje basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unajuwa kifo kipo hakikwepeki kwanini usifanye maamuzi mazuri hata kesho ya kuwahi peponi mapema! Kalaze shingo yako kwenye reli pindi utakapo ona treni ikija.kwisha habari!Anakosa kufa kwa ukimwi, anabutuliwa na bodaboda, hachukui Muda anakata moto........ Hivi vitu tunavichukulia serious sana ila aaaaaah..... Kufa kupo tu, sasa shida ni utakufaje basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo unayasema wewe.
Kunywa chai kwanza maisha ndio yaleyaleKama unajuwa kifo kipo hakikwepeki kwanini usifanye maamuzi mazuri hata kesho ya kuwahi peponi mapema! Kalaze shingo yako kwenye reli pindi utakapo ona treni ikija.kwisha habari!
Aisee sijui umejuaje kama muda huu napata chai!
Nini Mine eyes??
Ukibaki mwaminifu na mwenzio akiwa mwaminifu hakuna ubaya kufunya tendo la ndoa kiasili bila kuvaa mifuko ya plastic.Sasa tutafyatua vipi watoto Kama tutatumia kondomu?, tunatekeleza agizo la CCM
Hamna....! ulaji wetu tatizo binadamu hatulizik tunataka kula chochote tunachokiona. Virus hao chanjo chake ni ulaji wa popo na nyoka......Kwa afrika popo huleta vurus vya eboraHuenda ni mambo ya kusukwa na binadamu, angalia hili janga lililozuka China! Ni mipango ya Mungu kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app