k-bee
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 898
- 979
Kulingana na utafiti kasi ya maambukizi mapya ni kubwa na inazidi kuongezeka kila mwaka. Kwa sasa kila saa moja ni watu 8 wanapata maambukizi mapya.
Dah hii ni hatari vijana tubadilike ingawa kuna vyanzo vingine vya maambukizi lakini tujidhahari na ngono zembe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah hii ni hatari vijana tubadilike ingawa kuna vyanzo vingine vya maambukizi lakini tujidhahari na ngono zembe.
Sent using Jamii Forums mobile app