MtazamoWangu
JF-Expert Member
- Apr 25, 2009
- 313
- 7
Kampuni ya Hits ( ExcellentCOm T Ltd) ambayo imekwama sasa kutokana na kukosa pesa na kukimbiwa na wafanyakazi wake wote wa ngazi za juu, inawezekana ikamtia doa Dr. Mwinyi kwa ushiriki wake kama local director.
Hits Iliyosajiriwa kama ExcellentCom (T) Ltd inamilikiwa na kampuni mbili;
1. Excellent Systems 65% (wamiliki ni Yahya alwahi na ndugu yake Nasor Alwahi) ni Watanzania (kutoka singida) wenye uraiya wa Oman, wafanyabiashara.
2. Jitco 35%- Inayomilikiwa na Dr.Hussein Mwinyi na nduguye Abdulah Mwinyi,
Hawa walipewa nafasi hii kutokana na sheria za TCRA kutaka 35% ya kampuni kumilikiwa na mtanzania na kutokana na urafiki wao na waomani, japo waliweza kumshawishi Mramba na Chenge kuwasaidia wakati wanatafuta leseni, Mramba aliomba ajengewe shule jimboni na pia angeshirikishwa kwenye mradi wa kiwanda cha mbolea walichokuwa wamepanga kujenga kusini.
Mramba alialikwa Oman kuhudhuria vikao vya kiserikali na ma-investor hao ambao pia walikuwa rafiki zake japo aliambulia kupigwa SOUND.....hamna kitu...
Baada tu ya ExcellentCom kupewa leseni, waomani walitafuta investor mwenye uwezo kifedha na uzoefu katika biashara ya simu, ndio Hits Telecoms walipoingia, wakuza nusu ya shea zao, kwa hiyo kampuni ikawa:
1. Excelent Systems 32.5%
2. JITCO 35%
3. Hits Telcoms 32.5%
Na kufanya JITCO kuwa ndio majority shareholder, japo Hits alitakiwa ndio awe investor...
Abdulah Mwinyi ndio mwenyekiti wa bodi kwa sasa na ndio ameonekana mara kwa mara akifika ofisini kuwatuliza mzuka wafanyakazi na kujua hatika ya mishahara yao ambayo sasa imeonekana kuwa mgogoro.
Japo hatuwezi kuwalaumu akina Mwinyi kwa ushiriki wao na pia kuilaumu kampuni, maana waliamnza vizuri sana kwa kasi mpaka pale uchumi ulipoyumba...ila tu wajue pia walitumiwa na wale waOmani ambao walikuwa opportunist tu, wababaishaji mno, kila aliyekumbana nao anawalaumu sana kwa sound, na hata ushiriki wa akina mwinyi ulikuwa na mashaka in terms of investment (hapa siweki wazi).
Kwa wale waOman walisharudisha gharama yao mara tu baada ya kuuza 32.5% ya kampuni na hawana hasara kabisa..kwani hata kile kikampuni kidogo cha ndege kwenda znz wamekinunua...wanaendelea kufanya hivyohivyo pia baadhi ya nchi kama Uganda, mozambique...lakini kutokana na uchumi kubana naona spidi yao imeisha....
Kama Hits haitauzwa au kupata pesa kwa njia yoyote ile, itakuwa ni aibu kwa kina Mwinyi...na TCRA itabidi ichukue hatua...
Hits Iliyosajiriwa kama ExcellentCom (T) Ltd inamilikiwa na kampuni mbili;
1. Excellent Systems 65% (wamiliki ni Yahya alwahi na ndugu yake Nasor Alwahi) ni Watanzania (kutoka singida) wenye uraiya wa Oman, wafanyabiashara.
2. Jitco 35%- Inayomilikiwa na Dr.Hussein Mwinyi na nduguye Abdulah Mwinyi,
Hawa walipewa nafasi hii kutokana na sheria za TCRA kutaka 35% ya kampuni kumilikiwa na mtanzania na kutokana na urafiki wao na waomani, japo waliweza kumshawishi Mramba na Chenge kuwasaidia wakati wanatafuta leseni, Mramba aliomba ajengewe shule jimboni na pia angeshirikishwa kwenye mradi wa kiwanda cha mbolea walichokuwa wamepanga kujenga kusini.
Mramba alialikwa Oman kuhudhuria vikao vya kiserikali na ma-investor hao ambao pia walikuwa rafiki zake japo aliambulia kupigwa SOUND.....hamna kitu...
Baada tu ya ExcellentCom kupewa leseni, waomani walitafuta investor mwenye uwezo kifedha na uzoefu katika biashara ya simu, ndio Hits Telecoms walipoingia, wakuza nusu ya shea zao, kwa hiyo kampuni ikawa:
1. Excelent Systems 32.5%
2. JITCO 35%
3. Hits Telcoms 32.5%
Na kufanya JITCO kuwa ndio majority shareholder, japo Hits alitakiwa ndio awe investor...
Abdulah Mwinyi ndio mwenyekiti wa bodi kwa sasa na ndio ameonekana mara kwa mara akifika ofisini kuwatuliza mzuka wafanyakazi na kujua hatika ya mishahara yao ambayo sasa imeonekana kuwa mgogoro.
Japo hatuwezi kuwalaumu akina Mwinyi kwa ushiriki wao na pia kuilaumu kampuni, maana waliamnza vizuri sana kwa kasi mpaka pale uchumi ulipoyumba...ila tu wajue pia walitumiwa na wale waOmani ambao walikuwa opportunist tu, wababaishaji mno, kila aliyekumbana nao anawalaumu sana kwa sound, na hata ushiriki wa akina mwinyi ulikuwa na mashaka in terms of investment (hapa siweki wazi).
Kwa wale waOman walisharudisha gharama yao mara tu baada ya kuuza 32.5% ya kampuni na hawana hasara kabisa..kwani hata kile kikampuni kidogo cha ndege kwenda znz wamekinunua...wanaendelea kufanya hivyohivyo pia baadhi ya nchi kama Uganda, mozambique...lakini kutokana na uchumi kubana naona spidi yao imeisha....
Kama Hits haitauzwa au kupata pesa kwa njia yoyote ile, itakuwa ni aibu kwa kina Mwinyi...na TCRA itabidi ichukue hatua...