Malipo yao yanategemea kazi watakayo ifanya, wako wanaopipwa nusu kwanzaNaomba wale ambao wanauzoefu au wana taarifa juu ya utendaji kazi wa hawa watu ambao hufanya mauaji kwa kulipwa kama wana taarifa watujuze hapa.
Malipo yao yanategemea kazi watakayo ifanya, wako wanaopipwa nusu kwanza
Wateja wao wakubwa ni wauza madawa, wahakifu wa kivita, even baadhi ya serikali, huwa wanatoa such contracts kuhitaji taarifa mtu fulani
So wana hire hacker outside ya mfumo wa serikal ili mambo yakiharibika hakuna atakaejua kama serikal inahusika
Even matajiri kwakubwa , wanawatumia against wapinzani wao kibiashara au maadui zao
So kuna variety of services. Kwa sasa wanalipwa kupitia bitcoin au dead drops
Lazima uwe na kitambulisho cha NIDA.Utaweza kuwalipa kwa kutumia Bitcoin?
Unataka kuua CCM?Naomba wale ambao wanauzoefu au wana taarifa juu ya utendaji kazi wa hawa watu ambao hufanya mauaji kwa kulipwa kama wana taarifa watujuze hapa.