Hitler hakumbukwi kwa mazuri yake kwa Germany

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,606
8,744
Pamoja na Hitler kusaidia kampuni za German na kuja na dawa kama Aspirin na Magari ya Volkswagen watu wanamkumbuka kwa mauaji tu. Lakini ni mtu huko German alikuwa anapedwa sana na kushabikiwa kila aendapo. Alikuwa mkatoliki mzuri sana na mpaka Papa Pius wa wakati ule alikuwa ana support serikali yake.

Yanayotokea Tanzania kwa upinzani na watu kupoteza maisha kwasababu tu ya kuwa na mawazo tofauti. Miaka kumi ijayo hatutakumbuka treni, Mabwawa wala barabara lakini mauaji binadamu hawasahau. Kama unapenda serikali na vitu wanavyofanya unatakiwa kupinga vitendo vibaya kwasababu vitafuta kabisa mazuri. Hata ukiangalia kwa wastaafu wetu watu hawakumbuki vitu wanakumbuka ukaribu na personality za watu zaidi

Hitler

If you tell a big enough lie and tell it frequently enough, it will be believed.

He alone, who owns the youth, gains the future”
 
Hitler aliifanya Ujerumani iheshimike na iogopwe na nchi za ulaya baada ya Vita ya Kwanza ya dunia, na katika Karne ya 20 hakuna kiongozi yeyote hapa ulimwenguni aliyeweza kuleta mabadiliko ya kiuchumi, miundombinu na kijeshi kwa mda mchache kama aliifanya Hitler, isinge tokea Vita ya pili ya dunia German ingekua super power kwa Sasa.
 
Mleta maada wadanganye wajinga mimi sidanganyiki. Adolf Hitler ni mzungu alie kufa akitetea nchi na ardhi yake isimezwe na watu asili asia. Kosa lake ni lipi? Leo hii corona imewaua sana wazungu (Ulaya na Amerika). Corona imetokea wapi sio bara la Asia (Semic). Hitler alitabiri hayo watu wameacha nchi zao wanakimbia Ulaya.

Mungu wasaidie wazungu
 
Hitler aliifanya Ujerumani iheshimike na iogopwe na nchi za ulaya baada ya Vita ya Kwanza ya dunia, na katika Karne ya 20 hakuna kiongozi yeyote hapa ulimwenguni aliyeweza kuleta mabadiliko ya kiuchumi,miundombinu na kijeshi kwa mda mchache kama aliifanya Hitler, isinge tokea Vita ya pili ya dunia German ingekua super power kwa Sasa.
Wakati huo yeye ndiye alianzisha vita hiyo tena kwenye front mbili.
 
Wakati huo yeye ndiye alianzisha vita hiyo tena kwenye front mbili.
Nikweli lengo lilikua ni kulipa kisasi kwa maadu zake waliosababisha ujerumani hasara kubwa baada ya WWI, kama ujuavyo baada ya Vita victorious power walipunguza idadi ya jeshi la ujerumani na hata kuipangia idadi ya ndege za kivita atakazoruhusiwa kuwa nazo nakuilazimisha ujerumani ilipe gharama/hasara za Vita alivovisababisha, hata hivo chini ya utawala wa mda mfupi wa Hitler aliibadilisha Ujerumani na kuwa taifa lenye nguvu duniani, na kama angeshinda Vita au asingekuwa na kisasi kwa madui zake kwa Sasa historia ya dunia ingesomeka vingine.
 
Watu wanakumbuka sana mabaya kuliko mazuri. Wakati wa Mkapa watu wote waliokuwa watu wazima wanakumbuka Shauri tanga na Meli iliyozama kule Mwanza. Lakini ukiuliza alifanya nini watu wameshasahau kila kitu
 
Ukila karanga 20 nzima, kisha ukala moja tu mbovu inakusahaulisha zile nzuri zote ulizokula, na itachukua karanga 5-10, hadi ladha nzuri ije tena mdomoni..

Hivi ndio asili yetu ilivo, jitahidi sana kufanya wema kila mara.
 
Binafsi huwa namwelewa vyema kutokana na mabaya yake ila naamini hata mabaya hakuyafanya kwa ubaya aliyafanya kwa kutafuta wema

Kuwauwa watoto chini ya miaka 12 kwa kuwachoma hakuna zuri hapo. Inawezekana hajaisoma historia ya Hitler vizuri
 
Hitler aliifanya Ujerumani iheshimike na iogopwe na nchi za ulaya baada ya Vita ya Kwanza ya dunia, na katika Karne ya 20 hakuna kiongozi yeyote hapa ulimwenguni aliyeweza kuleta mabadiliko ya kiuchumi, miundombinu na kijeshi kwa mda mchache kama aliifanya Hitler, isinge tokea Vita ya pili ya dunia German ingekua super power kwa Sasa.
Mbona nchi aliyoitawala (Ujerumani) haimkumbuki kwa haya uliyoandika?
 
Mleta maada wadanganye wajinga mimi sidanganyiki. Adolf Hitler ni mzungu alie kufa akitetea nchi na ardhi yake isimezwe na watu asili asia. Kosa lake ni lipi?
Mbona nchi yake (Ujerumani) haimpi hii sifa uliyoandika hapa? au na wao (Wajerumani) wanatudanganya?
 
Nikweli lengo lilikua ni kulipa kisasi kwa maadu zake waliosababisha ujerumani hasara kubwa baada ya WWI, kama ujuavyo baada ya Vita victorious power walipunguza idadi ya jeshi la ujerumani na hata kuipangia idadi ya ndege za kivita atakazoruhusiwa kuwa nazo nakuilazimisha ujerumani ilipe gharama/hasara za Vita alivovisababisha , hata hivo chini ya utawala wa mda mfupi wa Hitler aliibadilisha Ujerumani na kuwa taifa lenye nguvu duniani, na kama angeshinda Vita au asingekuwa na kisasi kwa madui zake kwa Sasa historia ya dunia ingesomeka vingine.
Soviet Union, Poland, Romania, Hungary, Britain, France, Norway,Tunisia, Egypt, Libya kote uko alikuwa analipiza kisasi?
Hata kwenye malengo ya uvamizi hakuna sehemu alitaja analipiza kisasi na hata angekuwa analipiza asingeweza vamia nchi zote hizo.
Ilikuwa ni tamaa yake na ubaguzi tu ndio ulimtuma.
 
Nenda Ujerumani halafu umseme Hitler vibaya uone kama watakuchekea..
 
Back
Top Bottom