- Thread starter
- #21
Nenda Ujerumani alafu umseme Hitler vibaya uone kama watakuchekea..
Mbona kuna Watanzania wengi Tu wanakaa kule tunaongea nao
Nenda Ujerumani alafu umseme Hitler vibaya uone kama watakuchekea..
Tengeneza tu vizuri hoja yako..Mbona kuna Watanzania wengi Tu wanakaa kule tunaongea nao
Soma vizuri siasa za Adolf hitler uelewe ndio uje kuandika hitler alikuwa dictate na rais wetu mwanademocrasia. Alafu hitler alikuwa mzalendo aliepiganiani nchi yake isimezwe na wageni(waasian au semic), Wayahudi .
Heshima ipi hiyo aliyonayo? Au kuua, kutesa na kudhulumu wayahudi?Embu acha kuzingua.. Hitler kule anaheshima yake na haitokaa ipotee!Tengeneza tu vizuri hoja yako..
Tanganyika ilipokonya toka Ujerumani mwaka 1918 baada ya Ujerumani kushindwa vitani.Hitler alifanya ujinga ndio maana TANGANYIKA ipo ipo tu. Wale jamaa wangeendelea kukaa hapa angalau tungekuwa twaelewa
. mkuu mimi haya nimekuta wapi nimetoa taarifa za viongozi wa ujerumani wikipidia au wikipidia nao ni waongo.Mbona nchi yake (Ujerumani) haimpi hii sifa uliyoandika hapa? au na wao (Wajerumani) wanatudanganya?
...🙄🙄🙄...? hao wanaomsifia sio viongozi wa Ujerumani ila ni viongozi wa vyama vyenye itikadi za kinazi (kifashisti).. mkuu mimi haya nimekuta wapi nimetoa taarifa za viongozi wa ujerumani wikipidia au wikipidia nao ni waongo.
Kuua wayahudi million 6 na kuanzisha vita vya pili vya dunia vilivyoua mamilioni ya raia kote duniani, kwako unaona ni akili kubwa?Hitler na wanazi wenzake walikuwa ni akili kubwa ..
Achana kabisa na zile namba
Pamoja na Hitler kusaidia kampuni za German na kuja na dawa kama Aspirin na Magari ya Volkswagen watu wanamkumbuka kwa mauaji tu. Lakini ni mtu huko German alikuwa anapedwa sana na kushabikiwa kila aendapo. Alikuwa mkatoliki mzuri sana na mpaka Papa Pius wa wakati ule alikuwa ana support serikali yake.
Yanayotokea Tanzania kwa upinzani na watu kupoteza maisha kwasababu tu ya kuwa na mawazo tofauti. Mika kumi ijayo hatutakumbuka treni, Mbwawa wala barabara lakini mauaji binadamu hawasahau. Kama unapenda serikali na vitu wanavyofanya unatakiwa kupinga vitendo vibaya kwasababu vitafuta kabisa mazuri. Hata ukiangalia kwa wastaafu wetu watu hawakumbuki vitu wanakumbuka ukaribu na personality za watu zaidi
Hitler
“If you tell a big enough lie and tell it frequently enough, it will be believed.
He alone, who owns the youth, gains the future”
Hatujazungumzia utu. Tumezungumzia akili na akili haijalishi unafanya jema au baya akili ni akili tu.Kuua wayahudi million 6 na kuanzisha vita vya pili vya dunia vilivyoua mamilioni ya raia kote duniani, kwako unaona ni akili kubwa?
Kwa hiyo Hitler alizaliwa anaua?"Alikuwa mkatoliki mzuri sana na mpaka Papa Pius wa wakati ule alikuwa ana support serikali yake."
Licha ya kuwaua wanadamu milioni sita kwa kuwatia katika gas chamber? Licha ya kuanzisha vita kuu ya pili kwa kuzishambulia nchi za jirani? Huyo eti anapendwa na Papa!!
Heshima ipi hiyo aliyonayo? Au kuua,kutesa na kudhulumu wayahudi?