General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Baby unanitisha ujueeHii ni kwa wanaume wanaotimiza majukumu yao tu ......kama hatimizi wajibu wake asahau heshima ...
Hakuna heshima ya bure narudia hakuna heshima ya bure
Baby unanitisha ujueeHii ni kwa wanaume wanaotimiza majukumu yao tu ......kama hatimizi wajibu wake asahau heshima ...
Hakuna heshima ya bure narudia hakuna heshima ya bure
Kuwa mjinga mda mrefu napo mtihaniIli mahusiano yadumu ujue kuna mjinga mmoja. Hamuwezi kuwa wajanja wote then mkatoboa. Mashindano ni sumu ya mahusiano, ile "kama hafanyi B nami sifanyi C" kama nafasi inaruhusu we fanya hiyo B na C uone.
Kuwa mjinga mda mrefu napo mtihani
Inabd mbadilishane tu hahaha
Malalamiko ya kukosekana nguvu za kiume nayo yameshika kasi sana sikuhiz😱Ujumbe mzuri kwa wanawake wenzako lakini na mimi ngoja nichangie kitu, muwe munatoa huduma ya ndoa basi mana kumekuwa na malalamiko kwa wanandoa wa kike kuwanyima penzi waume zao
Thank you end of discussionIla bro mimi naona hata sisi wanaume pia tuna matatizo haiwezekani mtu siyo mume mwema ila anataka mke mwema tukumbuke kuwa mtu hupewa wa kufanana naye na mimi naungana nao wanaosema kuwa mwanaume anayestahili kupewa heshima ni yule anayetimiza majukumu yake maana imeandikwa mwanaume mpende mkeo na mwanamke mtii mumeo sasa mwanaume haumpendi mkeo unamsaliti kutwa michepuko halafu unataka yeye akutii eti afuate maandiko tujue tu haya maandiko hayakuandikwa kwa ajili ya wanawake pekee ni kwa ajili ya wote kwahiyo mwanaume asiyempenda mkewe na asiyetimiza majukumu yake kwa mkewe anataka hadi mke amsaidie huyo hastahili kuheshimiwa wala kupewa utii
🤣🤣🤣🤣🤣Baki hivyo hivyo na kibri chako. Ndoa ni agizo la Mungu na ni muunganiko wa Kimungu ambao bila kupepesa macho hauelezi suala la KUOWANA. Mwanamke unaolewa. Suala la kuowana ni dhana inayojengeka sana vichwani mwa dada wetu wa dot com na ndio sababu ya wengi kukosa ndoa, kutodumu kwa ndoa zenu na kubaki single maza.
Huu ni ukweli mchungu msiopenda kuusikia mmebaki kutaka kusikia yale yanayowapendeza tu. Kwamba unaowana? Bullshit, unaowana na nani?
Mkuu una point hatariSawa naomba nikuulize tena swali jingine ndoa ni kuvumiliana na kusameheana sasa wewe kama mwanaume utakuwa tayari kumvumilia mkeo kwa kiasi kama ambacho wewe utataka yeye akuvumilie? Naomba unieleweshe mkuu
Ukweli mchunguNdugu yangu labda nikueleweshe kitu kimoja hivi ushawahi kujiuliza kwanini Mungu alisema mwanamke amtii na amuheshimu mwanaume? Ulidhani kwamba anatakiwa afanye hivyo bure bure tu wakati hujamuumba wala hujamzaa?
Mungu aliweka hivyo sababu alimuumba mwanaume kuwa ndo mwenye jukumu ya kuhudumia na kutunza familia kiuchumi na ndo maana akamwambia mwanaume atakula kwa jasho lake tu na siyo kwa njia nyingine yoyote lakini mwanamke hakuambiwa kuwa atakula kwa jasho lake yeye aliambiwa tu atazaa kwa uchungu
Sasa shida inakuja dunia ya leo wanaume tunataka wanawake watusaidie kutafuta hela na kuhudumia familia wakati tunajua majukumu yao ni kupika kufua kuosha vyombo kufanya usafi kuzaa na kulea majukumu ambayo wanaume hatuyafanyi ila sisi tunataka wao wafanye ya kwetu
Sasa mwanamke ukishamwambia aingilie majukumu ya mwanaume automatically lazima ataingilia na ile nafasi ya uongozi aliyopewa mwanaume yaani hiyo ni nature sababu kuwa kiongozi siyo kwa sababu eti wewe una jinsia ya kiume tu hapana na pamoja na kutimiza majukumu yako yote kama mwanaume sasa ukitegemea mke akusaidie unatagemea nini? Ina maana ni lazima na wewe uwe tayari kumsaidia majukumu yake ya ndani pia
E bwana eee!!! Mahitaji ya kihisia ndo yapi hayoJukumu la kwanza ni kuwa na akili ya kufanya maamuzi sahihi kwa wakati husika
Jukumu la pili ni kutambua kwamba wewe ni mwanaume na mwanamke anakutegemea kwa kila hila hitaji, KILA HITAJI, kimwili na kihisia
Jukumu la tatu ni kumpenda kweli mwanamke wako ambaye naye anaonesha kukupenda kwa dhati
Jukumu la nne ni kutafuta suluhu ya mambo yaliyoshindikana
Mume wake akichepuka Miaka 3 anamkanya anamwombea anamsihi amemstahi haya alioandika huyu bibie ataendelea kuyatenda?
Hii kitu mademu wengi ndo hawaelewi .
Mwanaume yoyote yule anapenda kuona anaheshimiwa na Mkewe.
Kisha ampe Mzigo.
Ila sasa madem wa leo ni wagum kuelewa, wepesi kusahau.