History of PhD...

Tumaini nani anakudharau tena?

nani anayesema madrasa ni mbaya nani huyo tumfunde?

hawaoni kuwa madrasa inasaidia watu kuwa na elimu, ni mwanzo wa elimu, shule za kiislamu zinafanya vizuri Tanzania kwa sababu ya madrasa, hivi shule gani ya kiislamu mwaka jana iliongoza kitaifa, waambie mwe!

waeleze kuwa maendeleo ya sayansi na teknolojia yalianzia madrasat,

Isaac Newton, Einstein, Faraday, Ohm, Galileo wote walipitia madrasa.

Ukitaka wakuelewe achana na historia, weka kitu kinachoishi sasa kinachothibitisha madrasa ni nzuri, bila hivyo hawatakuelewa mkuu wangu ebu wape.

waaambie JK alipitia madrasa Bagamoyo, waambie Yahaya na Makamba walihudhuria siku zote.

waambie waarabu vitabu vyao vimendikwa kiarabu,shule zao wanasoma kiarabu mpaka vitabu vya advanced technonology vimeandikwa kiarabu, wakisoma madrasa wanatumia ligha hiyo hiyo mpaka vyuo vikuu, na kwa namna hii wanakuwa wazuri.

waambie kuwa madrasa za Tanzania wanatumia kiswahili sio kiarabu, hivyo wanaelewa tangu kila kitu!

waambie!
:D te te te te te
 
Good for you!, I agree , but not in Tanzania, where are you from?

Wewe madrasa ya Tanzania umehudhuria au umeweka predejudice bila kufanya utafiti...??

Madrasa wanafundishwa every knowledge you know on earth...

Google how Islam developed west..uone number of books related to madrasa na jinsi watumwa wa west africa (mostly muslims walivyofanya innovations kwenye mashamba huko ulaya kutokana na elimu ya madrasa)
 
Tatizo lako wewe mdini na ndiyo maana hata ukileta hoja nzuri watu wanadharau na wanakuchukulia vilevile kidinidini.

Mdini maana yake ni kuwa muislamu eh!

I don't care dharau wala sifa za watu..najitegemea kiakili na nafahamu wanaotafuta kuungwa mkono huku JF ni watu wasio na uhakika na imani na maisha yao pole.
 
Wewe madrasa ya Tanzania umehudhuria au umeweka predejudice bila kufanya utafiti...??

Madrasa wanafundishwa every knowledge you know on earth...

Google how Islam developed west..uone number of books related to madrasa na jinsi watumwa wa west africa (mostly muslims walivyofanya innovations kwenye mashamba huko ulaya kutokana na elimu ya madrasa)

I can see you are living in the past! and now I know why many west african countries are poor than I can say.

Tumaini, we are living today! we need to see those things happening now, here in Tanzania!

If you insist that your madrasat is good then go for it, tell your relatives and all muslim to continue going there;

But you know what? this world is not for muslim or christian, this is a world of competent professional, is a world of truth and reality, is a world of survival for fittest.

Challenging you that madrasa is wastage of time is now not a topic for christian to tell you, many muslims have been saying the same thing.

Tumain whom are you fooling around, are you trying to cheat us, have you forgotten that our next door neighbours are muslim??

are you defending the practise of suppressing and curbing the brains of innocent bright muslim children through madrasa!

whats wrong of teaching them in friday and leave them freely the other days for knowledge that they will make them emulate respective to their dreams!
 
I can see you are living in the past! and now I know why many west african countries are poor than I can say.

Tumaini, we are living today! we need to see those things happening now, here in Tanzania!

If you insist that your madrasat is good then go for it, tell your relatives and all muslim to continue going there;

But you know what? this world is not for muslim or christian, this is a world of competent professional, is a world of truth and reality, is a world of survival for fittest.

Challenging you that madrasa is wastage of time is now not a topic for christian to tell you, many muslims have been saying the same thing.

Tumain whom are you fooling around, are you trying to cheat us, have you forgotten that our next door neighbours are muslim??

are you defending the practise of suppressing and curbing the brains of innocent bright muslim children through madrasa!

whats wrong of teaching them in friday and leave them freely the other days for knowledge that they will make them emulate respective to their dreams!

You dont know what you are discussing, you better remain silent. If you dont be able to see what has happened in the past then ,you can not plan ,and if you can not plan then you will fail, actually even in science we need to know what had happened in order to develop something that is claimed to be potential for technology, sasa wewe unatujia na blabla za TZ acha mambo yako bwana, kama kitu hukijui si unyamaze au jifunze kwa wanao changia. Unamuandama Tumain kwa hoja kama mtoto bwana.
 
1. Madrasa ilianza karne nyingi zilizopita na ndio mwanzo wa elimu yote duniani
2. Madrasa zitabaki na watu wenye heshima tumepita huko ni sehemu ya kupata elimu na maarifa ya dunia, maarifa ya Muumba na Ulimwengu, ni sehemu yenye kufundisha haki..ni tishio kwa wasio penda haki na wenye kudhulumu kama US and its allies
briefly embu angalia hii!
History of the Ph.D. degree
The origins of the doctorate dates back to the ijazat attadris wa 'l-iftta ....
Kwa bahati mbaya mchango asilia ulichanganya habari halisi za kihistoria na madai yasiyo na msingi.
1. Ni kweli ya kwamba chanzo muhimu cha chuo kikuu kulikuwa katika madrasat za Waislamu.
2. Si kweli ya kwamba madrasat hizi zilikuwa chanzo cha elimu duniani. Hizi madrasa za kale zilitunza na kuunganisha elimu ya Wagiriki wa Kale pamoja na Wahindi wa Kale. KWa hiyo kw muda wa karne kadhaa madrasat za Kiislamu zilikuwa kilele cha elimu duniani.

Ila tu historia inaendelea. Wagriki walijifunza kutoka Wamisri na Wababeli, Waarabu walijifunza kutoka Wagiriki na Wahindi, Wazungu wa Ulaya walijifunza kutoka Waarabu, baadaye Wajapani waliamua kujifunza kutoka Wazungu ...

Nani atatafuta leo hii elimu y mbele huko Misri, Ugiriki au Iraq (Babeli?), au katika nchi za Kiislamu? Historia inaendelea. Ujerumani ilikwa mstari wa mbele Fisikia na Kemia hadi Hitler alifukuza wataalamu wayahudi na wenye roho ya demokrasia, walienda Marekani na vyuo vya Marekani vilistawi. Kwa muda gani?
"Madarasa" ni jina tu. Yaliyomo yake? "Akademia" ilikuwa jina la vyuo vya Wagiriki wa kale, akina Platoni n.k. Leo hii ni jina la shule ya vidudu wa Kenya. . .
 
Kwa bahati mbaya mchango asilia ulichanganya habari halisi za kihistoria na madai yasiyo na msingi.
1. Ni kweli ya kwamba chanzo muhimu cha chuo kikuu kulikuwa katika madrasat za Waislamu.
2. Si kweli ya kwamba madrasat hizi zilikuwa chanzo cha elimu duniani. Hizi madrasa za kale zilitunza na kuunganisha elimu ya Wagiriki wa Kale pamoja na Wahindi wa Kale. KWa hiyo kw muda wa karne kadhaa madrasat za Kiislamu zilikuwa kilele cha elimu duniani.

Ila tu historia inaendelea. Wagriki walijifunza kutoka Wamisri na Wababeli, Waarabu walijifunza kutoka Wagiriki na Wahindi, Wazungu wa Ulaya walijifunza kutoka Waarabu, baadaye Wajapani waliamua kujifunza kutoka Wazungu ...

Nani atatafuta leo hii elimu y mbele huko Misri, Ugiriki au Iraq (Babeli?), au katika nchi za Kiislamu? Historia inaendelea. Ujerumani ilikwa mstari wa mbele Fisikia na Kemia hadi Hitler alifukuza wataalamu wayahudi na wenye roho ya demokrasia, walienda Marekani na vyuo vya Marekani vilistawi. Kwa muda gani?
"Madarasa" ni jina tu. Yaliyomo yake? "Akademia" ilikuwa jina la vyuo vya Wagiriki wa kale, akina Platoni n.k. Leo hii ni jina la shule ya vidudu wa Kenya. . .

Usomi mtupu!
 
huu ndio mwisho wa akili yako..kweli zero yaani kichwa chako ni hewa!
Chako ni baloon. Hahahahahaha kwi kwi kwi kwi kwi wuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Agalia usijelipuka mkuu naona hauko mbali kujitoa muhanga. kwi kwi kwi kwi
 
Chako ni baloon. Hahahahahaha kwi kwi kwi kwi kwi wuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Agalia usijelipuka mkuu naona hauko mbali kujitoa muhanga. kwi kwi kwi kwi

Utasubiri sana wishes zako,

Besides, nimekuonyesha kwamba the western PhD programmes was actually originated from Islamic madrasat in those early years, and it was only arround islamic scholars (clerics in islamic laws)

Read the "how islam influence western development" uache kuwa empty kichwani..maana type yako inaonyesha ni hewa sana..mbege mbaya
 
Back
Top Bottom