Historia ya Qur'an

Ushaanza kutoka nje ya mistari kama kawaida yenu, si Biblia wala Qur'an ina maana kwetu Waafrika, tuna imani na mila zetu hapa Afrika.

Mungu wako ni yupi au ni yule Marehemu Wanyonyi ??

MAREHEMU WANYONYI

1711211524110.jpeg
 
Michenzani hakuna wazungu labda hujafika Zanzibar
Nimesema hao uwaonao huko ni walalahoi tu na ndiyo maana unawaona huko Michenzani kwenu, sasa jiulize mtu una maisha mazuri hapa Bongo unaenda kuishi Michenzani, ana akili kweli huyo?
 
Mtume alikuwa Muislam kwa miaka 23 (kuanzia miaka 40 hadi 63)..Mimi naomba kujibiwa maswali yafuatayo:

1. Tangu kuzaliwa kwake Mtume hadi alipofika umri wa miaka 40 alikuwa anaabudu wapi?
2. Mungu wake alikuwa nani?
3. Kibla chake kilikuwa wapi?
4. Msikiti wake ulikuwa wapi?
5. Utaratibu wake wa kuswali ulikuaje?
6. Alikuwa akifunga Ramadhan? (Ilikuwa na maana gani kwake?
7. Alikuwa akienda kuzunguruka Kabah? Je Kabah Ilikuwa na midoli au haikuwa nayo?

mgen
Che mittoga
Laaahh mpaka naogopa....aliyeiandika ni nani?
 
Nimesema hao uwaonao huko ni walalahoi tu na ndiyo maana unawaona huko Michenzani kwenu, sasa jiulize mtu una maisha mazuri hapa Bongo unaenda kuishi Michenzani, ana akili kweli huyo?

Ikiwa wenye maisha mazuri wanakuja kulala kwenye mapaa kwa mamia kama kumbi , Hao walala hoi watakuwa vipi ??

:p:p:p
 
Nani alithibitisha kwamba kweli Mohamed alikutana na malaika Gabriel/Jibril? Maana kile kiube hakikujitambulisha jina,Mohamed alipanick sana mpaka akawa anahisi amekutana na shetani. Mkewe Bi Khadija akamfunika kitandani kisha akamuita mzee Waraq ambye alikua mkristo,mzee akahisi itakua Mohamed alikutana na Jibril. Tokea hapo kile kiumbe kikabaki na jina hilo.
 
Ikiwa wenye maisha mazuri wanakuja kulala kwenye mapaa kwa mamia kama kumbi , Hao walala hoi watakuwa vipi ??

:p:p:p
Jiulize sasa, nani mwenye akili timamu anatoka hapa Bongo kwenda kulala juu ya paa huko Michenzani? Hao ni wale wanaodanganywa na masheikh kwenda kuishi maisha mazuri peponi wakijiunga na ugaidi kusaidia Waislam wa Somalia na Yemen. Nakataa kabisa, huwezi kuwa na akili timamu ukatoka hapa Bongo kwenda kujifunza ugaidi Zanzibar na kulazwa juu ya mapaa ya nyumba Michenzani. Ndiyo maana mnaambiwa rudini shule, kusoma si dhambi, nani aliyewadanganya jamani?
 
Nani alithibitisha kwamba kweli Mohamed alikutana na malaika Gabriel/Jibril? Maana kile kiube hakikujitambulisha jina,Mohamed alipanick sana mpaka akawa anahisi amekutana na shetani. Mkewe Bi Khadija akamfunika kitandani kisha akamuita mzee Waraq ambye alikua mkristo,mzee akahisi itakua Mohamed alikutana na Jibril. Tokea hapo kile kiumbe kikabaki na jina hilo.
Mohammed alikutana na shetani/ jini ndipo akapewa Qur'an, kumbukeni kuwa jamaa alichanganikiwa akawa anaitwa kichaa na akapotea kabisa mitaani. Aliporudi akasema alishukiwa na malaika Jibril na kupewa Qur'an, hakuna aliyemuamini kwa sababu alifahamika kama kichaa hapo awali. Sababu watu walikuwa hawamuamini akawa na hasira nao, akawa anawaua na kubaka wake zao ili wakizaa watoto waje kuwa Waislam. Jamaa alikuwa mtu wa hajabu sana.
 
Mimi sioni kama kuna haja ya muda huu kujudge kuhusu maswala ya kiimani katika upande huu wa kidini.!
Kila mtu abaki na dini yake au Aamini anachokiamini.

1)Mtume Muhammad S.A.W kupewa utume akiwa na miaka 40 ilikua ni hekma aliyoitumia Mwenyezi Mungu.kwani kumpa katika umri huo wa miaka 40 kikawaida hata akili ya mtu inakuwa imekomaa kisawasawa na kutambulika ni mtu mzima na mpembuzi wa mambo.
Pia katika swala ilo la kiimani yalitokea mengi hivyo ilihitaji mtu ambae atakua tayari ni matured.! Na kuabudu ukisoma historia katika SIRA Muhammad S.A.W hakuwa akijihusisha na ibada yoyote iliyokua ikiendelea kipindi kile(ibada kuu-kuabudu masanamu,moto,jua,mwezi,wanyama nk) vitu ambavyo hata wewe ndugu yangu sio rahisi kukubadili kuviabudu ambayo vingine mwanadamu mwenyewe alishiriki kuvitengeneza.
Hivyo Muhammad S.A.W mara nyingi alikua akijitenga na kuwa mwenyewe katika sehemu pweke.
2) Mungu wake alikua Allah
03)swala la kibla lilikuja baada ya mtume kukakabidhiwa swala ambazo leo waislam tunaziswali kutwa mara 5 na katika historia ya Kibla hivyo kipindi hiko yeye hakuwa na Kibla
04) hakuwa na msikiti(elewa jibu no 1 na no 3)


05)hakuwa na utaratibu kabla hajapewa kitabu (Quran)
06)hakuwa akifunga Ramadhan kabla hajapewa kitabu (Quran)
07)hakuzuru Kaabah kabla hajapewa kitabu (Quran) na unaposema kulikua na midoli ama lah.? Unamamisha nini masanamu au.?
Kama ni masanamu yalikuwepo kabla ujinga ukiwa unatawala sana katika eneo lile kabla Muhammad S.A.W hajapewa Utume.!

Nawasilisha
Matured gani na alishindwa kusoma mara tatu zote alizobanwa na malaika akiambiwa asome
 
Huyu jamaa nakumbuka siku waliyomfukuza Uislamu..

Aliita Jopo la Ulaamaa Na Masheikh wa Madhehebu yote/Wawakilishi halafu akawaambia eti yeye Hamza amekuja kwenye Mwili Yeye ni Nabii Ilyassa (Nabii Elisha)..

Alipigwa Spana Na kufukuzwa kwenye uislamu Juu...

Akaanzisha Dini yake Yenye mchanganyiko wa Uislamu na Ukristo 🤣🤣
😂😂Sema masheikh wanajua kupiga spana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom