Historia ya pyramid za Misri

Historia ya pyramid za Misri

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,027
Naomba kupata elimu juu ya haya majengo marefu zaidi kabla ya karne ya 19.
1. Nani walijenga watumwa au wafanyakazi wa kawaida?
2. Ndani ya majengo haya kuna nini?
3. Lengo la kujenga lilikuwa nini?
4. Kwa sasa yanatumika au.yapo km majumba ya makumbusho?
5. Mawe makubwa km Yale waliyapandishaje?

NB: Maana sahihi ya uhuru wa kuzungumza ni kusikiliza na Yale tusiyoyapenda na si tunayoyapenda tu.
Tunavyoruhusu ya wengine kuandikwa na ruhusu na yako pia yaandikwe na yajadiliwe kwa Uhuru.
 
Naomba kupata elimu juu ya haya majengo marefu zaidi kabla ya karne ya 19.
1.nani walijenga watumwa au wafanyakazi wa kawaida?
2.ndani ya majengo haya kuna nini?
3.lengo la kujenga lilikuwa nini?
4.kwa sasa yanatumika au.yapo km majumba ya makumbusho?
5.mawe makubwa km Yale waliyapandishaje?

NB:maana sahihi ya uhuru wa kuzungumza ni kusikiliza na Yale tusiyoyapenda na si tunayoyapenda tu.
Tunavyoruhusu ya wengine kuandikwa na ruhusu na yako pia yaandikwe na yajadiliwe kwa Uhuru.
Aiseee chalii yangu Diamond na WC wanaendeleaje?
 
Egyptology inaelezea nadharia mbalimbali za ujenzi wa mapiramidi.

Moja ya nadharia ni kuhusu aliens waliofika misri na kuyajenga ukichukulia namna yalivyojengeka kiufundi na kimaajabu. Hakuna binadamu wa aina yoyote kwa nyakati zile angeweza kujenga zile pyramid.

Nadhari ya pili inasema kuwa piramidi zilijengwa na watumwa wa kale waliokuwa na maguvu mengi na miili mikubwa ndio maana waliweza kupandisha yale majabali mazito bila cranes wala bulldozers.

Nadharia ya tatu inasema kuwa piramidi hazikujengwa na yeyote. Zipo tu siku zote kama vitu vya asili.
 
Egyptology inaelezea nadharia mbalimbali za ujenzi wa mapiramidi.

Moja ya nadharia ni kuhusu aliens waliofika misri na kuyajenga ukichukulia namna yalivyojengeka kiufundi na kimaajabu. Hakuna binadamu wa aina yoyote kwa nyakati zile angeweza kujenga zile pyramid.

Nadhari ya pili inasema kuwa piramidi zilijengwa na watumwa wa kale waliokuwa na maguvu mengi na miili mikubwa ndio maana waliweza kupandisha yale majabali mazito bila cranes wala bulldozers.

Nadharia ya tatu inasema kuwa piramidi hazikujengwa na yeyote. Zipo tu siku zote kama vitu vya asili.

Sasa kati ya nadharia hizi tatu,ipi ina nguvu zaidi ya nyingine ?
 
Inasemekana hayana kivuli. Yaani ukikaa pande zotr utapigwa na jua. (Hayatengenezi kivuli kabisa)
Hivi calculation gani hapo ilitumika yaaninkuanzia jua kuchomoza hadi kuzama hayo huwa hayaweki kivuli?
Naomba kupata elimu juu ya haya majengo marefu zaidi kabla ya karne ya 19.
1.nani walijenga watumwa au wafanyakazi wa kawaida?
2.ndani ya majengo haya kuna nini?
3.lengo la kujenga lilikuwa nini?
4.kwa sasa yanatumika au.yapo km majumba ya makumbusho?
5.mawe makubwa km Yale waliyapandishaje?

NB:maana sahihi ya uhuru wa kuzungumza ni kusikiliza na Yale tusiyoyapenda na si tunayoyapenda tu.
Tunavyoruhusu ya wengine kuandikwa na ruhusu na yako pia yaandikwe na yajadiliwe kwa Uhuru.
 
najibu swali la 3 kama ifuatavyo

(a)kwa ajili ya kuzikia watawala wakubwa(Pharaohs)
(b) kwa ajili ya stoo ya vitu vya thamani k.m vile madini na hazina nyingine
 
Egyptology inaelezea nadharia mbalimbali za ujenzi wa mapiramidi.

Moja ya nadharia ni kuhusu aliens waliofika misri na kuyajenga ukichukulia namna yalivyojengeka kiufundi na kimaajabu. Hakuna binadamu wa aina yoyote kwa nyakati zile angeweza kujenga zile pyramid.

Nadhari ya pili inasema kuwa piramidi zilijengwa na watumwa wa kale waliokuwa na maguvu mengi na miili mikubwa ndio maana waliweza kupandisha yale majabali mazito bila cranes wala bulldozers.

Nadharia ya tatu inasema kuwa piramidi hazikujengwa na yeyote. Zipo tu siku zote kama vitu vya asili.
Swali zuri ila ccm wata haribu thread
 
Back
Top Bottom