Historia ya Noti na Sarafu za Tanzania

Asante mkuu kichuguu heshima kubwa sana kwako huu uzi wako utadumu milele na milele autakuja kuchuja
 
Safi sana, hii ni hazina..

Halafu kuna mamtu yanataka kufungia JF nzima kwa sababu ya Jukwaa moja tu.
Umeona eeh?
Huwa hawapekui na kupata maarifa na historia kama hii kwanza, wanakimbilia kutaka kutuziba midomo. Nyambafu zao
 
hiz
hizi na mimi nilipata bahati ya kusitumia nikiwa shule ya primary(early 1980s) na secondary (late 1980s)

H






0
 
Asante kwa darasa mkuu....nimekumbuka mbali sana yaani mimi nilianza kuiona 200 hii such a good memories

Sent from my Iphone 7 plus using JamiiForums app
 
Ilikiwa na mstari wa siri wenye maneno,benki kuu ya Tanzania.

Maandishi madogo sana,yakiwashinda kabisa jamaa wazee wa kopy.
 
Enzi hizo natunwa lita mbili na nusu za mafuta ya taa kwa hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…