Crian Rwegasira Karoly
Member
- Oct 18, 2019
- 5
- 7
Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani vipi, unataka kufa hivyo unaandaa historia fupi ya marehemu?.
Mwl Crian Rwegasira Karoly alizaliwa tarehe 02/02/1990 katika kitongoji Nyamitundu Kijiji Kisana kata Kyebitembe wilaya Muleba Mkoani Kagera.
Alianza shue katika shule ya msingi Burigi kata Karambi (w) Muleba - Kagera mwaka 1999 na kuhitimu mwaka 2005 kwa kupata alama 111 pia alijiunga na sekondari Humura ( w) Muleba Kagera mwaka 2007 na kuhitimu mwaka 2010 kwa ufaulu mzuri.
Mwaka 2011 mwl Crian Rwegasira Karoly alijiunga na chuo cha ualimu St.Francis Nkindo na kuhitimu mwaka 2013 .Mwaka 2014 alipata ajira ya ualimu Mkoa wa Kagera wilayani Kyerwa s/msingi Kihinda, mwaka 2018 alihamia Wilayani Muleba .
Kuanzia mwaka 2015 alichaguliwa na staff yake kuwa mwalimu mkuu msaidizi hata alipohamia Wilayani Muleba alichaguliwa tena na staff mwaka 2019 kuwa mwalimu mkuu msaidizi.View attachment 1503031View attachment 1503032
Mwl Kuna information zinamiss. Hujataja salary scale yako, una mikopo mingapi bank, una mikopo mingapi vikoba, Deni lako la uchumi wa Kati limefika sh ngapi?
Hajasema lakini nadhani ndiyo lengo lake. Sasa sijui kama ni ubunge au udiwani. Kazi kweli kweli...Ametangaza nia?
Nilitegemea kuona madigrii makali, kazi za kimataifa, magari makali (Kiduku Lilo style)...
Wahaya nanyi mmeanza lini ushamba wa Kisukuma? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Mungu anawaona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwalimu unamiliki nyumba ngapi , Magari mangapi, una mashamba mangapi na ya ukubwa gani?
Mwalimu endelea na utambulisho naamini hujamaliza
Ticha una kiatu kizuri [emoji14][emoji2090]Mwl Crian Rwegasira Karoly alizaliwa tarehe 02/02/1990 katika kitongoji Nyamitundu Kijiji Kisana kata Kyebitembe wilaya Muleba Mkoani Kagera.
Alianza shue katika shule ya msingi Burigi kata Karambi (w) Muleba - Kagera mwaka 1999 na kuhitimu mwaka 2005 kwa kupata alama 111 pia alijiunga na sekondari Humura ( w) Muleba Kagera mwaka 2007 na kuhitimu mwaka 2010 kwa ufaulu mzuri.
Mwaka 2011 mwl Crian Rwegasira Karoly alijiunga na chuo cha ualimu St.Francis Nkindo na kuhitimu mwaka 2013 .Mwaka 2014 alipata ajira ya ualimu Mkoa wa Kagera wilayani Kyerwa s/msingi Kihinda, mwaka 2018 alihamia Wilayani Muleba .
Kuanzia mwaka 2015 alichaguliwa na staff yake kuwa mwalimu mkuu msaidizi hata alipohamia Wilayani Muleba alichaguliwa tena na staff mwaka 2019 kuwa mwalimu mkuu msaidizi.View attachment 1503031View attachment 1503032