Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Mkuu gadaffi alikuwa mzalendo zaidi ya kagame ila udikteta wake ma kukandamiza wakosoaji huku akiwanyima uhuru wananchi kulifanya apinduliwe na vijana wa kijiweni tu......

Kagame hata kma kafanya maendeleo kwani anashindwa kuandaa mrithi ambaye ana uwezo kama wake wa kuipeleka Rwanda mbele?? Je akifariki ghafla si ndio mambo ya nchi kuingia vitani sababu ya ombwe la uongozi

Ni vyema apishe awaachie hata wahutu muhula mmoja ili tension za ukabila ziishe na baada ya hapo watutsi watawale milele ila kitendo cha kagame kuitawala Rwanda tokea miaka ya 90 mpaka 2034 sidhani kama wahutu watakubali itapelekea vita nyingine huko mbeleni
Watu aina ya kagame au Gaddafi ni adimu sana yaani anaweza tokea mmoja kwenye karne hivyo Ni wa kumtumia vizuri kwa manufaa ya taifa angalia urusi hawamwachii putin, angalia Ujerumani angalia China nk. Usidhani watu kama PK wanapatikana kirahisi au wapo katika kila generation
 
Watu aina ya kagame au Gaddafi ni adimu sana yaani anaweza tokea mmoja kwenye karne hivyo Ni wa kumtumia vizuri kwa manufaa ya taifa angalia urusi hawamwachii putin, angalia Ujerumani angalia China nk. Usidhani watu kama PK wanapatikana kirahisi au wapo katika kila generation
Lakini mkuu china russia na ujerumani hawana vita za ukabila au udini hivyo hawagawanyiki kirahisi lakini Rwanda kuna ukabila hivyo ni rahisi ajenda ya maendeleo kupuuzwa pale ukabila unapotajwa hivyo kwa aina hii ya nchi yenye mpasuko wajifunze lebanon au nigeria ambapo dini na makabila hugawana madaraka kufurahisha aina zote za jamii zilizopo nchi hizo

At least aachie waje wengine ili kujenga umoja wa kitaifa mfano akifanya Rais mtutsi kesho mhutu kila baada ya miaka 10 unafkiri ukabila utakuwa na nguvu tena ila watoto waliozaliwa mwaka 1999 kipindi kagame Rais leo hii wana miaka 19 hivyo wanapiga kura ssa wanashangaa toka wazaliwe hadi leo Rais ni mmoja tu tena wa kabila moja tu!!! Kibaya zaidi hawajui madhara ya genocide sababu hawakushuhudia je huoni wanaweza kuwa chachu ya kudai mabadiliko kwa vita huko mbeleni

Nchi za Africa tujifunze kuwa na succession plan sio mtu unajiona una akili kuliko viongozi wengi hadi ukatae kuachiana madaraka
 
Lakini mkuu china russia na ujerumani hawana vita za ukabila au udini hivyo hawagawanyiki kirahisi lakini Rwanda kuna ukabila hivyo ni rahisi ajenda ya maendeleo kupuuzwa pale ukabila unapotajwa hivyo kwa aina hii ya nchi yenye mpasuko wajifunze lebanon au nigeria ambapo dini na makabila hugawana madaraka kufurahisha aina zote za jamii zilizopo nchi hizo

At least aachie waje wengine ili kujenga umoja wa kitaifa mfano akifanya Rais mtutsi kesho mhutu kila baada ya miaka 10 unafkiri ukabila utakuwa na nguvu tena ila watoto waliozaliwa mwaka 1999 kipindi kagame Rais leo hii wana miaka 19 hivyo wanapiga kura ssa wanashangaa toka wazaliwe hadi leo Rais ni mmoja tu tena wa kabila moja tu!!! Kibaya zaidi hawajui madhara ya genocide sababu hawakushuhudia je huoni wanaweza kuwa chachu ya kudai mabadiliko kwa vita huko mbeleni

Nchi za Africa tujifunze kuwa na succession plan sio mtu unajiona una akili kuliko viongozi wengi hadi ukatae kuachiana madaraka
Mimi binafsi naangalia future ya taifa lao, North Korea imefika pale kwasababu ya mtu mmoja, China imefika pale kwasababu ya Mao, Cuba vile vile sasa kama majirani hawaoni gift aliyonayo PK watamjutia in the long run kwa mfano hapa kwetu imetuchukua miaka kibao mpaka kumpata mzalendo mwenye angalau chembe chembe za mwalimu. Kuna vitu huwezi Pata sababu viko ndani ya baadhi ya watu wachache, gift ya PK huwezi ipata kwingine coz is within him, only him
 
Mimi binafsi naangalia future ya taifa lao, North Korea imefika pale kwasababu ya mtu mmoja, China imefika pale kwasababu ya Mao, Cuba vile vile sasa kama majirani hawaoni gift aliyonayo PK watamjutia in the long run kwa mfano hapa kwetu imetuchukua miaka kibao mpaka kumpata mzalendo mwenye angalau chembe chembe za mwalimu. Kuna vitu huwezi Pata sababu viko ndani ya baadhi ya watu wachache, gift ya PK huwezi ipata kwingine coz is within him, only him
You might be right lakini je kama unaamini it's ONLY HIM je akipata ugonjwa au kufariki ghafla fate ya Rwanda itakuwa nini???

Kama yeye pekee ndio ana uwezo kwanni asiandae mfumo ambao hata yye akiondoka wanaokuja watembelee nyota yake kma china wanavyoendelea mbele ingawa mao hayupo au marekani hata Rais awe will smith bado linasonga mbele sababu ya misingi imara iliyowekwa na waanzilishi wa taifa

Hii tabia ya kuamini wwe pekee unaweza ikitokea la kutokea ndio nchi inadumbukia kwenye machafuko sababu mnakosa mtu wa kuvaa viatu vya kagame!! Yes He's bright and focused than most Presidents ila nchi yao ina mgawanyiko wa miaka mingi hilo asisahau hivyo licha ya maendeleo ila harmony ni muhimu Rwanda kuliko majumba na mabarabara sababu bila harmony machafuko yakitokea hao wahutu hawatotaka kujua kuna nyumba au mabarabara kama ilivyokuwa Libya tu

Mifano ya Tanzania na China haiwezi kufanya kazi hapa sababu nchi hizo hazijawahi kuwa na vita za kikabila na kidini zaidi ni itikadi tu so Rwanda has to be handled with care otherwise kagame atabaki kuwa mmoja ya viongozi Bora kabisa afrika mashariki that's if at all hatosubiri mpaka aondolewe na bunduki!!
 
You might be right lakini je kama unaamini it's ONLY HIM je akipata ugonjwa au kufariki ghafla fate ya Rwanda itakuwa nini???

Kama yeye pekee ndio ana uwezo kwanni asiandae mfumo ambao hata yye akiondoka wanaokuja watembelee nyota yake kma china wanavyoendelea mbele ingawa mao hayupo au marekani hata Rais awe will smith bado linasonga mbele sababu ya misingi imara iliyowekwa na waanzilishi wa taifa

Hii tabia ya kuamini wwe pekee unaweza ikitokea la kutokea ndio nchi inadumbukia kwenye machafuko sababu mnakosa mtu wa kuvaa viatu vya kagame!! Yes He's bright and focused than most Presidents ila nchi yao ina mgawanyiko wa miaka mingi hilo asisahau hivyo licha ya maendeleo ila harmony ni muhimu Rwanda kuliko majumba na mabarabara sababu bila harmony machafuko yakitokea hao wahutu hawatotaka kujua kuna nyumba au mabarabara kama ilivyokuwa Libya tu

Mifano ya Tanzania na China haiwezi kufanya kazi hapa sababu nchi hizo hazijawahi kuwa na vita za kikabila na kidini zaidi ni itikadi tu so Rwanda has to be handled with care otherwise kagame atabaki kuwa mmoja ya viongozi Bora kabisa afrika mashariki that's if at all hatosubiri mpaka aondolewe na bunduki!!
Nashindwa kukuelewa hasa hoja yako ni ipi mkuu? Kama ni kumaliza matatizo ya ukabila anajitahidi kuwaungani na kujenga utamblisho wa wanyarwanda kama wanyarwanda huwezi kusimama kwenye public ukajiita mtusi au mhutu ama mtwa so kufikia 2040 wazee wa ukabila na genocide watakuwa washaaga dunia watakao kuwepo watakuwa wazee sana na population ya wakati huo wanajitambua kama wanyarwanda not divided as tutsi or hutu. Kupokezana madaraka ni kulinda utamblisho ule ule wa huyo mhutu na yule mtusi na inaweza pelekea ku stuck kwenye eneo hilo kwa generations
 
You might be right lakini je kama unaamini it's ONLY HIM je akipata ugonjwa au kufariki ghafla fate ya Rwanda itakuwa nini???

Kama yeye pekee ndio ana uwezo kwanni asiandae mfumo ambao hata yye akiondoka wanaokuja watembelee nyota yake kma china wanavyoendelea mbele ingawa mao hayupo au marekani hata Rais awe will smith bado linasonga mbele sababu ya misingi imara iliyowekwa na waanzilishi wa taifa

Hii tabia ya kuamini wwe pekee unaweza ikitokea la kutokea ndio nchi inadumbukia kwenye machafuko sababu mnakosa mtu wa kuvaa viatu vya kagame!! Yes He's bright and focused than most Presidents ila nchi yao ina mgawanyiko wa miaka mingi hilo asisahau hivyo licha ya maendeleo ila harmony ni muhimu Rwanda kuliko majumba na mabarabara sababu bila harmony machafuko yakitokea hao wahutu hawatotaka kujua kuna nyumba au mabarabara kama ilivyokuwa Libya tu

Mifano ya Tanzania na China haiwezi kufanya kazi hapa sababu nchi hizo hazijawahi kuwa na vita za kikabila na kidini zaidi ni itikadi tu so Rwanda has to be handled with care otherwise kagame atabaki kuwa mmoja ya viongozi Bora kabisa afrika mashariki that's if at all hatosubiri mpaka aondolewe na bunduki!!
Mkuu labda wewe ulikuwa na solution gani ya kumaliza ukabila na chuki ya hali ya juu kiasi kile? Do you think hizo means za kupokezana zinaweza maliza chuki nzito kama ile? Na kwanini hizo means za kupokezana zimefail kwa majirani wa Burundi??
 
Mkuu labda wewe ulikuwa na solution gani ya kumaliza ukabila na chuki ya hali ya juu kiasi kile? Do you think hizo means za kupokezana zinaweza maliza chuki nzito kama ile? Na kwanini hizo means za kupokezana zimefail kwa majirani wa Burundi??
Exactly wakipokezana sababu tukubali tukatae Rwanda mhutu unamjua na mtutsi unamjua by mere appearance so kusema uhutu na ututsi uishe ni kujidanganya unless kuwepo sheria ya intermarriage ili damu zichangamane otherwise kusema wanyarwanda ni wamoja ilihali ukiangalia serikali nzima imejaa watutsi hamna mhutu atakuelewa ila unataka wawe identified as rwandans basi at least serikali iwe 50-50 sio kila siku kagame anasema no more tribalism ilihali 90% ni watutsi haiwezi kuwasaidia wanyarwanda

Solution ni kugawana madaraka hata kma Rais ni mtutsi basi cabinet iwe 50-50 ili kelele za ukabila ziishe mfano lebanon Rais akiwa muislam basi mkristo anapewa uwaziri mkuu ili waishi kwa amani hata Tanzania akitoka mkristo anaingia muislam ndio maana vurugu za udini zinakuwa contained ila ingekuwa Marais wakristo tokea nyerere hadi leo sidhani kama waislam wangefurahi lazima wangetafuta haki yao hta kwa mtutu!!

Hivyo Rwanda lazima mkubali unyarwanda haupo sababu wahutu na watutsi hawafanani kwa lolote toka lini mkulima na mfugaji wakafanana?? Hivyo wagawane madaraka ili wanyarwanda wote wahutu na watutsi wajione wana haki sawa hivyo chuki zitaisha remember hutus are majority they are almost 10 million so u have to please them too
 
Exactly wakipokezana sababu tukubali tukatae Rwanda mhutu unamjua na mtutsi unamjua by mere appearance so kusema uhutu na ututsi uishe ni kujidanganya unless kuwepo sheria ya intermarriage ili damu zichangamane otherwise kusema wanyarwanda ni wamoja ilihali ukiangalia serikali nzima imejaa watutsi hamna mhutu atakuelewa ila unataka wawe identified as rwandans basi at least serikali iwe 50-50 sio kila siku kagame anasema no more tribalism ilihali 90% ni watutsi haiwezi kuwasaidia wanyarwanda

Solution ni kugawana madaraka hata kma Rais ni mtutsi basi cabinet iwe 50-50 ili kelele za ukabila ziishe mfano lebanon Rais akiwa muislam basi mkristo anapewa uwaziri mkuu ili waishi kwa amani hata Tanzania akitoka mkristo anaingia muislam ndio maana vurugu za udini zinakuwa contained ila ingekuwa Marais wakristo tokea nyerere hadi leo sidhani kama waislam wangefurahi lazima wangetafuta haki yao hta kwa mtutu!!

Hivyo Rwanda lazima mkubali unyarwanda haupo sababu wahutu na watutsi hawafanani kwa lolote toka lini mkulima na mfugaji wakafanana?? Hivyo wagawane madaraka ili wanyarwanda wote wahutu na watutsi wajione wana haki sawa hivyo chuki zitaisha remember hutus are majority they are almost 10 million so u have to please them too
Vipi hiyo ya kupokezana kwa jirani mbona imebuma? Pengine matatizo ya hayo makabila ni zaidi ya vyeo vya utawala
 
Mkuu labda wewe ulikuwa na solution gani ya kumaliza ukabila na chuki ya hali ya juu kiasi kile? Do you think hizo means za kupokezana zinaweza maliza chuki nzito kama ile? Na kwanini hizo means za kupokezana zimefail kwa majirani wa Burundi??
Nlisahau about Burundi...... ila kuhusu burundi ilifanya kazi pale watutsi walipokubali uchaguzi huru na haki miaka ya 90 na wakampa muhutu urais bila vita na waliishi kwa amani na vita zikaisha shida ilikuja as u know watutsi hawapendi kutawaliwa wakapindua nchi ndio vita zikaanza tena!!

Pia wakati wa uhuru Prince rwegasore mtutsi huyu founder wa UPRONA chama cha watutsi alioa mhutu ili kuunda mixed race ukabila ufe na aliomba watutsi wote wafanye hivyo ili ututsi na uhutu ufe na kweli baada ya kupata uhuru vurugu za ukabila zikaisha but ndio hivyo watutsi wasiopenda kutawaliwa na wahutu kina mwami wambutsa wakamuua rwegasore na ndio vurugu zikaanza tokea hapo

Hivyo kama sio vurugu za watutsi policy hyo ya kushare madaraka ilisaidia kuleta amani burundi
 
Nlisahau about Burundi...... ila kuhusu burundi ilifanya kazi pale watutsi walipokubali uchaguzi huru na haki miaka ya 90 na wakampa muhutu urais bila vita na waliishi kwa amani na vita zikaisha shida ilikuja as u know watutsi hawapendi kutawaliwa wakapindua nchi ndio vita zikaanza tena!!

Pia wakati wa uhuru Prince rwegasore mtutsi huyu founder wa UPRONA chama cha watutsi alioa mhutu ili kuunda mixed race ukabila ufe na aliomba watutsi wote wafanye hivyo ili ututsi na uhutu ufe na kweli baada ya kupata uhuru vurugu za ukabila zikaisha but ndio hivyo watutsi wasiopenda kutawaliwa na wahutu kina mwami wambutsa wakamuua rwegasore na ndio vurugu zikaanza tokea hapo

Hivyo kama sio vurugu za watutsi policy hyo ya kushare madaraka ilisaidia kuleta amani burundi
Hio imefeli na inaendelea kufeli hata yule footballer kaonesha kuwa ni old way of solving tribal issues so pengine ngoja tuone hii ya PK huenda ikafanya kazi who knows?
 
Nashindwa kukuelewa hasa hoja yako ni ipi mkuu? Kama ni kumaliza matatizo ya ukabila anajitahidi kuwaungani na kujenga utamblisho wa wanyarwanda kama wanyarwanda huwezi kusimama kwenye public ukajiita mtusi au mhutu ama mtwa so kufikia 2040 wazee wa ukabila na genocide watakuwa washaaga dunia watakao kuwepo watakuwa wazee sana na population ya wakati huo wanajitambua kama wanyarwanda not divided as tutsi or hutu. Kupokezana madaraka ni kulinda utamblisho ule ule wa huyo mhutu na yule mtusi na inaweza pelekea ku stuck kwenye eneo hilo kwa generations
Huwezi kusolve tatizo kama hulikubali tatizo kuwa lipo.... Kusema wote ni wanyarwanda ilihali hamfanani chochote ni kujidanganya, vilevile kusema kukubali uhutu na ututsi ni ukabila nakataa sababu wahutu wanajijua sana na watutdi wanajijua hivyo kama unataka kuua ukabila wape haki sawa watasahau ukabila ila kusema wote wajiite wanyarwanda ilihali wahutu wanaona rwanda is only ruled by tutsis bado haiwezi kumaliza ukabila

Kwa ufupi ukitaka wajiite wanyarwanda kuwepo na 50-50 au intermarriage fullstop sio kwa matamko ya kagame majukwaani kuwa wajiite wanyarwanda ilihali hakuna usawa ni kujidanganya tu
 
Hio imefeli na inaendelea kufeli hata yule footballer kaonesha kuwa ni old way of solving tribal issues so pengine ngoja tuone hii ya PK huenda ikafanya kazi who knows?
Mbona Tz imefanya kazi?? Huoni hata kenya kipindi odinga alikuwa prime minister the country was so United na wajaluo felt they are kenyans too ila akianguka uchaguzi u can really see ukabila unakuwa wazi kwanini??? Sababu wanaona kama they do not belong to mother land kenya.....

Ila serikali ya kenya ikiwa inclusive kikabila kama ambavyo ya Tanzania ipo inclusive kidini huwa tension zinapungua kabisa na wananchi wanakuwa wamoja

So instead of using burundi as a case study at least let's learn from Tanzania
 
Mkuu Malcom Lumumba naona unachungulia tu thread embu njoo umwage data kuhusu historia hii ya mauaji ya kimbari...... Namasubiri na mkuu Jmali pia muweke uchambuzi wenu humu
 
Kigali sio chafu kama mji wenu huo unanuka
Kulinganisha Dar na Kigali ni sawa na kulinganisha Kigoma na NewYork! Kigali bado mji mchanga sana na huo maoita usafi usiwadanganye kuwa mna JiJi la maana, kile ni kijiji. Dar es Salaam moto mwingine kabisa...kwa East Africa ni Dar na Nairobi tu nyie wengine (Bujumbura, Kigali na Kampala) kaeni pembeni kabisa. Kwa taarifa yako nimeishi sana Rwanda, mji wa kigali ndo kwanza unajengeka...mnahitaji miaka 100 kufika level za Dar na Nairobi.
 
Huo ukweli unasaidia nin mmebakia maskini wa kutupwa ufisadi wa hali ya juu vijana webaki mitandaoni kulia lia bila Action yoyote kutekana kila siku nchi kama haina mwenyewe mna maisha magumu sana
Hahaahaa amakweli tunabishana na chizi, hivi kutekana kupo Tz au Rwanda!!?? Nyie mmejaa ubinafsi na mshazoea kuchinjana so huna haki ya kutunyooshea kidole waTZ maana kama kutekana na kuuana kwenu nyinyi ni wimbo wa kila siku.
 
Hii Ndio sababu hata Races nyingine wanasema " whenever you see a black man you see a fool " kwa baadhi ya foolish prides comments za the so called Chosen Tutsis to rule others kwenye hii thread naanza kuamini huu usemi .............. Bragging about nonsense and utterly absurd stuffs , I wish you could know how Jews views and treat blacks in their own country (Israel) you would have stopped this foolish arrogance long ago ..............To me there is no stupidity of highest magnitude than this ................ Hao wazungu mnaowaabudu wenyewe wameinteract sana kwa sasa MDutch na Mjerumani , Mfaransa na MItaly n.k ......Sisi ndo bado tunaendekeza huu upuuzi wao walishaachana na Ethnic superiority Bullshit muda mrefu wakakaa kama Europeans na maendeleo yalishaonekana sasa sisi bado tuko stone age ............Mara Mtutsi ndo nina haki ya kutawala na mpumbavu kama huyu ana ujasiri kabisa wa Kuandika huu upupu humu na watu wanashangilia kabisa ............Hopeless kabisa............kwa Case ya pale Rwanda na Burundi hawa jamaa wakubali kuachia madaraka , we ni nani kutawala miaka yote hiyo ina maana hamna watu wengine wanaoweza kuongoza ............Mi naamini Nyerere alikuwa ni kiongozi mwenye maono sana na hili suala aliliona mapema na kulishughulikia mapema na leo hii tunajivunia Ethnic unity iliyotukuka kabisa ulimwenguni , makabila 120 na intermarriages hazikatazwi kabisa .................Hivi unafikiri Tanzania kungetokea kukawa na kabila moja likashikilia hatamu zote za uongozi nini kingetokea ..........Nahisi Tanzania isingeweza kuexist na kungekuwa na vinchi vidogo within it Dodoma ,nchi ya Mwanza ,nchi ya Kigoma n.k na hata hivyo vinchi vyenyewe visingekuwa stable maana chukulia mfano Arusha kuna makabila zaidi ya mawili hawa lazima wangepigana tu ................... Na hiki ndio wanachotakiwa kujifunza haya makabila mawili Hutus & Tutsis uko Rwanda na Burundi ..............
Nimekuelewa sana
 
Acha kupaparika,eti Panic Mode Activated,inaonesha you are not comfortable with yourself,unaanza ku-scare people wakati in real sense wewe mwenyewe ndio upo scared...Hahahaaaa

Acha ku-project your own insecurities to other people!

Mpo obsessed sana na Ethiopians mpaka mnajikomba nao....Hahahaaa!
huyo demu atakusumbua kichwa tu hailewi anachokizungumza, ana stress, ni wa kumuonea huruma tu!!
 
Back
Top Bottom