Historia ya dunia bila Afrika haipo

Historia ya dunia bila Afrika haipo

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2014
Posts
4,392
Reaction score
7,863
Dar Iseeh katika Maisha huwa tunapitia Vitu vingi sana, vigumu na vyepesi mpaka vya kati

Usimdharau mtu aiseeh, usimdharau mtu usie Mjua maana hujui juu yake, na hii haina maana kwamba umdharau unae mjua, hapana sina maana hiyo nataka kusema tu kuwa ๐—ง๐˜‚๐—ต๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—บ๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ฒ.

Katika maisha siku zote ukitaka kitu chochote kile kufanyiwa na watu wanao kuzunguka, ๐—•๐—ฎ๐˜€๐—ถ ๐—ต๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚๐—ฑ๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ฎ ๐˜„๐—ฒ๐˜„๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ฎ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ผ ๐—ธ๐˜‚๐˜‡๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐—ธ๐—ฎ, ukifanya hivyo basi nawe utafanyiwa ๐—ก๐—œ๐—”๐— ๐—œ๐—ก๐—œ ๐— ๐—œ๐— ๐—œ inawezekana unapenda uheshimiwe,upewe vitu fulani,upendwe,utembelewe, ama kitu chochote unacho penda ufanyiwe na mtu nk, basi fanya juu chini wewe uwe wa kwanza kufanya hivyo kwa Watu ndipo na wewe utapata utakacho, japo inaweza isiwe kwa kila kitu.

Apandacho mtu ndicho avunacho, ๐— ๐—ถ๐˜€๐—ฒ๐—บ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ช๐—”๐—›๐—˜๐—ก๐—š๐—” huwa haipiti hivi hivi bali Ina maana yake na funzo kwa walimwengu, kuwa makini katika kuelewa.

Na Duniani hapa ukitaka kuishi kwa ๐—”๐—บ๐—ฎ๐—ป๐—ถ basi amani hiyo ianze wewe kwanza ndipo utaipata kiurahisi,

Ngoja nikwambie kitu, Ukitaka kuishi kwa amani usipende kuchukulia vitu Paniki, usipende kupaniki Paniki ovyo, kulalamika nk, wewe chukulia vitu kawaida tu hatakama ni vya kukwazana Saana, chukulia kawaida tu afu potezea bila hata kumchukia yule aliye kufanyia ubaya, wewe Pambana na kujituliza, na kukwepa kuchukia basi, ๐—•๐—ฎ๐˜€๐—ถ ๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐˜๐˜‚, na utawapa kitendawili watu walio kufanyia ubaya jinsi ya kukuelewa, na Hadhira itakuona wewe kuwa ni mwenye Busara sana.

Basi vijana wengi waafrika uzungu umewajaa, walio jawa na kuiga vitu kwenye movies za kihindi,kichina,kikorea, kizungu,kijapani nk huwambii kitu yaani ni Hawaambiliki hao wao hawana jipya zaidi ya kuiga na kukopi vile vya muvini(Movies) kazi ni kuishi wanacho kiangalia kwenye Movies basi, na mimi ninapo shangaa zaidi ni pale wanapo diliki kusema ๐— ๐—ถ๐—บ๐—ถ ๐˜€๐—ถ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ผ๐˜๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—บu๐—ฑ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ด๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฒ๐˜€ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ฏ๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ, alafu tunaishia kulalamika et sisi nchi zetu ni masikini uchumi mgumu, wanasahau wanakuza uchumi wa nchi za watu Ulaya, China, India nk,

๐—ก๐—”๐—ง๐—”๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—จ๐—ฆ๐—˜๐— ๐—” ๐—จ๐—ญ๐—”๐—Ÿ๐—˜๐—ก๐——๐—ข Ebu tukumbushana jamani, ๐‘€๐‘–๐‘š๐‘– ๐‘›๐‘–๐‘š๐‘’๐‘ข๐‘œ๐‘›๐‘Ž ๐‘˜๐‘ค๐‘Ž ๐‘Š๐‘Ž๐‘ก๐‘ข ๐‘ค๐‘Ž๐‘โ„Ž๐‘Ž๐‘โ„Ž๐‘’ ๐‘ ๐‘Ž๐‘›๐‘Ž ๐— ๐—”๐—š๐—จ๐—™UL๐—œ๐—™๐—œ๐—–๐—”๐—ง๐—œ๐—ข๐—ก ๐—ข๐—™ ๐—”๐—™๐—ฅ๐—œ๐—–๐—” Patrick Lumumba alijisemea na Hawa ndo wazalendo wenyewe sio hao tu Afrika hii ni wa kuhesabika, katika nchi moja utapata 2 nk watu wamejawa unafiki kwenye maisha yao, ๐–๐š๐ฆ๐ž๐š๐ฆ๐ข๐ง๐ข๐ฌ๐ก๐ฐ๐š ๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐จ ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐š ๐”๐†๐‡๐€๐ˆ๐๐”๐๐ˆ ๐ง๐š๐จ ๐ฐ๐š๐ค๐š๐ฎ๐š๐ฆ๐ข๐ง๐ข hawataki kuishi maisha yao kiafrika ila wanataka kuishi maisha ya wale wa Ulaya, ๐Œ๐ˆ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐๐€๐“๐€ ๐†๐‡๐€๐™๐€๐๐” ๐’๐€๐๐€ nashindwa cha kusema nao Waafrika wenzangu, ila mimi najua na baadhi ya WAAFRIKA walio komboka kifikra kuwa ๐–๐€๐€๐…๐‘๐ˆ๐Š๐€ ๐’๐ข๐ฌ๐ข ๐ง๐ข ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ฒ๐š ๐ก๐š๐ญ๐š ๐ฒ๐ž๐ฒ๐จ๐ญ๐ž ๐ฒ๐ฎ๐ฅ๐ž ๐ก๐š๐ฉ๐š ๐ƒ๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข, ๐ง๐ข ๐Œ๐ฐ๐š๐Ÿ๐ซ๐ข๐œ๐š ๐ญ๐ฎ Ewe ๐— ๐˜„๐—ฎ๐—ณ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ jikubali Sana, na hii haina maana kwamba ulete kiburi na dharau kwa Watu wengine nje
  • ๐—ก๐—š๐—ข๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—˜๐—ง๐—จ ๐—ก๐—œ ๐—ก๐—ฌ๐—˜๐—จ๐—ฆ๐—œ ๐—Ÿ๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ง๐—จ๐—ก๐—”๐—ข ๐—จ๐—ญ๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—ช๐—”๐—ญ๐—œ๐——๐—œ ๐—ช๐—˜๐—จ๐—ฃ๐—˜ ๐—ช๐—ข๐—ง๐—˜ Wazungu weusi najua mnashangaa sana kusikia kauli hii nikweli kuwa Mweusi ni mzuri kuliko rangi nyingine yeyote ile ๐‘๐‘Ž๐‘œ๐‘š๐‘๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘™๐‘’๐‘—๐‘’๐‘Ž ๐‘˜๐‘ค๐‘’๐‘›๐‘ฆ๐‘’ ๐‘๐‘–๐‘๐‘™๐‘–๐‘Ž ๐‘ง๐‘Ž ๐‘˜๐‘–๐‘ ๐‘Ž๐‘ ๐‘Ž
  • *๐‘Š๐‘–๐‘š๐‘๐‘œ ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘œ๐‘๐‘œ๐‘Ÿ๐‘Ž 1:5,
  • *๐ด๐‘ฆ๐‘ข๐‘๐‘ข 30:30
  • *๐‘€๐‘Ž๐‘œ๐‘š๐‘๐‘œ๐‘™๐‘’๐‘ง๐‘œ 5:10,
  • *๐‘€๐‘Ž๐‘œ๐‘š๐‘๐‘œ๐‘™๐‘’๐‘ง๐‘œ 4:8
Hayo ni maandiko, japo najua nyie msio elewa juu ya hili mtasema aah mbona unawapinga Wazungu afu unatumia maandiko yao,
Afu mimi nitawambia kuwa ๐๐ฒ๐ข๐ž ๐ฆ๐ง๐š๐ฏ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐ฏ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ฃ๐ข๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ก๐ฎ๐ฌ๐ฎ ๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐Œ๐ฐ๐š๐Ÿ๐ซ๐ข๐œ๐š bado hamjui kitu, ila elewa kuwa ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—ง๐—ข๐—ฅ๐—œ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐——๐—จ๐—ก๐—œ๐—” ๐—•๐—œ๐—Ÿ๐—” ๐— ๐—ช๐—”๐—™๐—ฅ๐—œ๐—ž๐—” ๐—›๐—”๐—œ๐—ฃ๐—ข kama hujui ni wewe, tulia ujifunze wenzako tunajifunza.

Wewe elewa kwamba ๐—”๐—ณ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ถ๐˜€ ๐—ผ๐˜‚๐—ฟ ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ต๐—ฒ๐—ฟ ๐—น๐—ฎ๐—ป๐—ฑ ๐˜๐—ถ๐—บ๐—ฒ ๐˜„๐—ถ๐—น๐—น ๐˜๐—ฒ๐—น๐—น, "hakuna siri ya Watu wawili hata siku moja, kama ikitokea hiyo haitakuwa Siri kamwe hapa duniani labda tuipe jina lingine" Africa tulifichwa Vingi sana, vingi ni vingi sanaa, lakini kwa sasa hakuna kufichwa tena tayari tulishajua.

๐—ž๐˜„๐—ฎ ๐—บu๐—ฑ๐—ฎ ๐—บr๐—ฒ๐—ณ๐˜‚ ๐—ž๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—จ๐—ข๐—ก๐—š๐—ข ๐——๐˜‚๐—ป๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ต๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ, ๐—ง๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ,๐˜๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ,๐—ป๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐—น๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐˜€๐—ฎ, ๐—ท๐—ฎ๐—ฝ๐—ผ ๐—•๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜‡๐—ฒ๐˜๐˜‚,๐—ฏ๐—ถ๐—ฏ๐—ถ ๐˜‡๐—ฒ๐˜๐˜‚ ๐—ป๐—ธ ๐˜„๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐—น๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐˜€๐—ถ๐˜€๐—ถ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ท๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ผ ๐—ต๐—ฎ๐—ถ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐—น๐˜‚๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐˜†๐—ผ Acha KUJIDHALAU Ewe Mwafrica, wakati umefika wa sisi pia kuishi katika ile kweli yetu ya kale iliyokuwa imepotea kwa kipindi kirefu sana na sasa imerudi tena kwetu ๐—ช๐—˜๐—จ๐—ฆ๐—œ maana wewe ni mweusi tu hata ukijichubua bado wewe ni mweusi na mzungu kamwe hawezi kuwa Mweusi hata dunia ianze upya yeye yuko vile vile na uongo wake.

FB_IMG_1624261728118.jpg
 
Back
Top Bottom