Kama wangemwamini wangemchagua 2010. Pale message waliyoituma wananchi kwa chadema na kwa Lutondwe ni kwamba hata CCM wangeweka jiwe lishindane na Nyagawa, bado wananchi wangechagua jiwe. Kura chache alizopata mwaka jana Nyagawa zilitoka kwa wananchi ambao wamekata tamaa na CCM na wako tayari kwa lolote lile ilimradi isiwe CCM. Mimi nilikuwa kwenye huo uchaguzi, na wananchi walikuwa wanasema wazi kabisa kwamba Lutondwe haaminiki.huna imani kwanini? maana wana njombe wana mwamini ,sasa wewe unayeishi dsm humwamini kwa lipi?
:heh:
You are not serious man. Sidhani kama Nyimbo analinganishwa na mbunge mwingine yeyote aliyewahi kuongoza Njombe katika suala zima la utendaji. Utamlinganisha Nyimbo na Makweta, Makinda, Kaduma, Yono, au Ngunangwa? Sijamwona mbunge wa Njombe ambaye yuko serious kama Nyimbo.baadaye sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa......Njombe ni CCM 100%...Nyimbo alikuwa mbunge kwa miaka 10 bila kuleta maendeleo yoyote zaidi ya matusi na dharau kwa utajiri wa KIFISADI na madawa ya kulevya .Leo hii anawadanganya wananjombe anataka kuleta maendeleo? maendeleo yapi aliyoshindwa kufanya enzi za UBUNGE? huyu hana utofauti na Jambazi kuvaa joho na biblia mkononi ili apate mwanya wakuhujumu uchumi.....NJOMBE haidanganyiki tena,labda NYIMBO asiwepo kwenye CHAMA hicho.
Huyu jamaa aliwahi kumdondosha Makweta kwenye uchaguzi halafu jamaa wakampa hela akakubali kushindwa while ameshinda. Imani inabakia kwenye kujenga chama ila kugombea ubunge imani na Lutondwe imetoweka kabisa. Big up nyimbo, mkoa mpya chama kipya na itikadi mpya. Viva CDM
acheni unafiki wenu,mbona hadi dakika za mwisho hamkujitokeza kugombea kama nyie mnafaa? mlitaka cdm njombe kaskazini ikose kabisa mtu wa kusimama kama walivyofanya njombe kusini? kwa nini msimpongeze kwa yale mazuri anayoyafanya hadi sasa kwenye chama nyie mmeng,ang,ania mambo ya 2010 ambayo hayawezi kusaidia kitu chochote,shughuli za chama zenyewe hamfanyi mmekaznia umbea bila kuwajibika kwenye chama,mnadhani cdm itajijenga bila kujitoa muda,fedha na raslimali zingine?tuulizeni tunaofanya naye kazi za chama kama hatufai ama vipiKama wangemwamini wangemchagua 2010. Pale message waliyoituma wananchi kwa chadema na kwa Lutondwe ni kwamba hata CCM wangeweka jiwe lishindane na Nyagawa, bado wananchi wangechagua jiwe. Kura chache alizopata mwaka jana Nyagawa zilitoka kwa wananchi ambao wamekata tamaa na CCM na wako tayari kwa lolote lile ilimradi isiwe CCM. Mimi nilikuwa kwenye huo uchaguzi, na wananchi walikuwa wanasema wazi kabisa kwamba Lutondwe haaminiki.
Kamanda mkuu wa jeshi la CHADEMA mkoa mpya wa Njombe akishirikiana na kamanda Nyagawa(Lutondwe).Amedhamiria kuhakikisha ifikapo 2014 jina la CCM linabaki historia katika mkoa mpya wa Njombe.Kamanda huyo ambaye anafanya kazi ya kueneza chama usiku na mchana katika mkoa mpya wa Njombe tayari amefungua zaidi ya matawi 180 ndani ya mwaka mmoja na anatarajia kuendelea kufungua matawa katika kata zote za mkoa huo.Jumamosi na jumapili ya tarehe 14.4.2012 na 15.4.2012 ataongoza kikosi cha maangamizi katika tarafa ya Lupembe,eneo ambalo linaongozwa na mbunge aliyeandika historia ya kuingia bungeni kwa elimu ya K.K.K.
Mikutano ya mwishoni mwa wiki itaanza katika kijiji cha Madeke mpakani na Morogoro,Mfiriga na Igombola.Siku ya jumapili ya tarehe 15 atakuwa Lupembe barazani na Matembwe.
Kwa kuwa ni wakati mwafaka wa kuleta mabadiliko katika nchi yetu,mheshimiwa Nyimbo anawaomba wazalendo wote duniani kute kujitokeza ili kuleta ukombozi wa kweli na uhuru wa kweli.
Bongo hakuna siasa za siri labda zile za CCM tu. Sheria na taratibu zinavitaka vyama vya siasa vikifanya mikutano ya wazi vitoe taarifa kwa uongozi wa eneo husika. Mikutano ya hadhara haina siri maana ni zama za kuwaamsha wananchi na kuwaonyesha kwamba pia kuna vyama vingine vina exist.
Strategy za siri haziwezi kufanya kazi kwa chama ambacho hakina mtandao, wanaoendesha strategy za siri mara nyingi huwatumia mabalozi na wanachama wake kwa kuendesha mikutano ya ndani. Huko Njombe CHADEMA haina wanachama wengi wa kufanya mikutano ya ndani, ndio kwanza wanafanya kazi ya ku-recruit wanachama, kufungua matawi na kusimika viongozi wa maeneo husika.