Historia ya Bahima empire ni ipi?

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,182
3,547
Jamani hii story niliwahi kuisikia kipindi cha Mtikila kuhusu Dola ya Bahima lakini historia yake hadi leo sijaifahamu ilianza mwaka gani, ni nani aliianzisha lakini pia ni wapi inapopatikana wapi.

Kuna tetesi niliwahi kusikia ipo Rwanda, mara Uganda, mara ipo kanda ya Ziwa, mara ipo Congo, mara Burundi, mara Ethiopia.

Anyway tuyacheni hayo yote mimi ningependa kufahamu ipi historia ya Bahima empire
 
Kwa kifupi Bahima empire au himaya ya Bahima ilianza miaka ya 1959 na ilianzia nchini Uganda ila ilikuja kupata nguvu miaka 80 hadi miaka ya 90 mpaka leo hii bahima bado ipo nchini Uganda.

Nilichokuwa nafahamu lengo la Bahima ilikuwa ni kuwaonganisha watu wa kabila la watusi waliomo walio Tanzania, Congo Rwanda, Burundi lakini pili Bahima lengo la pili kujitanua na kuhakikisha utawala wao unasambaa Africa nzima.
 
Kwa kifupi Bahima empire au himaya ya Bahima ilianza miaka ya 1959 na ilianzia nchini Uganda ila ilikuja kupata nguvu miaka 80 hadi miaka ya 90 mpaka leo hii bahima bado ipo nchini Uganda.

Nilichokuwa nafahamu lengo la Bahima ilikuwa ni kuwaonganisha watu wa kabila la watusi waliomo walio Tanzania, Congo Rwanda, Burundi lakini pili Bahima lengo la pili kujitanua na kuhakikisha utawala wao unasambaa Africa nzima.
nashukuru kupata historiaa
 
c programming ukitrace back wahima ,watutsi,banyamulenge wametoka ethiopia lakini inasemekana ni wana wa israel angalia pua zao,wale sio wabantu nadhani ni nilo hamit au hamit not sure,nikisema waisrael nadhan unaelewatwalivyo na akili
 
c programming ukitrace back wahima ,watutsi,banyamulenge wametoka ethiopia lakini inasemekana ni wana wa israel angalia pua zao,wale sio wabantu nadhani ni nilo hamit au hamit not sure,nikisema waisrael nadhan unaelewatwalivyo na akili
hapo mkuu nimekupata lakini una maana hawa ndio watu wenye akili nyingi africa mashariki
 
Kwa wenye ufahamu naomba msaada wa mapana ya abahima/bahima empire...
Nini?
Yafanyaje kazi?
Kusudi?
Ilipo..
Inakoelekea?
 
Kwa wale walio karibu na Kagame na Mseveni wanaweza kukupa majibu maana chimbuko liko maeneo hayo .
 
Mkuu, Bahima empire ni mkakati wa Museveni na Kagame kuyatawala mataifa ya Tanzania, Kenya, Burundi na Congo kitusi, na inasemekana tayari wanaenda kufanikiwa hapa kwetu ila kenya na Burundi ndo bado.
 
Mkuu, Bahima empire ni mkakati wa Museveni na Kagame kuyatawala mataifa ya Tanzania, Kenya, Burundi na Congo kitusi, na inasemekana tayari wanaenda kufanikiwa hapa kwetu ila kenya na Burundi ndo bado.
Kwa kuongeza tu, hii bahima ilitakiwa kuanza baada tu ya kupinduliwa rais wa zamani wa Zaire Marshall Mobutu Ssesseseko. Kulikuwa na makubaliano kati ya Rwanda (Kagame) Uganda (Museveni)na Laurent Kabila kwamba wakimsaidia kumtoa Mobutu basi atawagaia pande la ardhi (bahima) kwa ajili ya watutsi.

Baada ya kufanikiwa kumwondoa Mobutu, Kabila akawageuka Museveni na Kagame ndio ikapelekea vita ya pili kati ya Banyamulenge dhidi ya Kabila. Huku Kagame na Museveni wakiwasaidia banyamulenge ambao kwa asili ni watutsi waliokimbilia huko mashariki ya kongo miaka mingi iliyopita.

So kwa kifupi bahima mpaka tunapojadili hapa baso haijaanzishwa.
 
Back
Top Bottom