Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
Labda nianze kwa kukiri kuwa, sakata la karibuni kati ya Mh. Shibuda na BAVICHA ndio kilichonisukuma nianze kuirejea historia.
Ni ukweli kuwa wasukuma ni kabila kubwa na lenye ushawishi mkubwa hapa Tanzania. Lakini nikikumbuka historia niliyojifunza st. kanumba, sikumbuki kusoma tawala au kiongozi yeyote maarufu kutoka kabila hilo!
Je, hawakuwa na tawala kubwa iliyostawi?
Walimezwa na kutawaliwa na Wanyamwezi, ISIKE na MIRAMBO?
Au walikuwa nazo sizijui, au historia imewasahau?
Ni ukweli kuwa wasukuma ni kabila kubwa na lenye ushawishi mkubwa hapa Tanzania. Lakini nikikumbuka historia niliyojifunza st. kanumba, sikumbuki kusoma tawala au kiongozi yeyote maarufu kutoka kabila hilo!
Je, hawakuwa na tawala kubwa iliyostawi?
Walimezwa na kutawaliwa na Wanyamwezi, ISIKE na MIRAMBO?
Au walikuwa nazo sizijui, au historia imewasahau?