Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

Huyu siyo Mange Kimambi peke yake. She ain that bright, hata tarehe tu ya kuandamana huko ni very strategic kama Una macho yanayotazama vizuri. Na viongozi wetu wameshaongea so raia wanajua kuwa kuna maandamano yamekatazwa lakini nchi za wenzetu yameruhusiwa. Yaani mpaka marekani wameandamana. Kwa mm nionavyo Viongozi waliteleza kidogo kuyaboost. Wangekaa kimya halafu ipigwe marufuku kwa gazeti lolote kuandika kuhusu maandamano. Sasa japo inawezekana lakini kutakuwa na kazi kubwa kidogo ya kuyazuia kuliko mwanzoni endapo hayo ya hao uko nje yatafanikiwa vizuri. Ni mtazamo wangu.
tutafanya mpango na nchi zingine maandamano ya ruhusiwe
 
.......BITCHES IN CLEAR HEELS MARCHING IN EXILE!
Hao malaya ndio wanaotulisha na kutujengea barabara, reli na miundo mbinu ningine huku Bongo.

Hao malaya wakishapigwa miti, wakalipa kodi, tunamtuma rais au waziri aende kubembeleza na kupiga magoti tupewe hizo hela kujengea miundombinu huku Bongo.

Hua nashangaa mtu anaetukana malaya wa ulaya wakati ndio wanaotulisha hapa Bongo.
 
Hivi hawawezi kutumwa makomandoo kwenda kuyafutilia mbali? Brings bad image to our cantry you know!
 
Huyu siyo Mange Kimambi peke yake. She ain that bright, hata tarehe tu ya kuandamana huko ni very strategic kama Una macho yanayotazama vizuri. Na viongozi wetu wameshaongea so raia wanajua kuwa kuna maandamano yamekatazwa lakini nchi za wenzetu yameruhusiwa. Yaani mpaka marekani wameandamana. Kwa mm nionavyo Viongozi waliteleza kidogo kuyaboost. Wangekaa kimya halafu ipigwe marufuku kwa gazeti lolote kuandika kuhusu maandamano. Sasa japo inawezekana lakini kutakuwa na kazi kubwa kidogo ya kuyazuia kuliko mwanzoni endapo hayo ya hao uko nje yatafanikiwa vizuri. Ni mtazamo wangu.
Huku ukiwa tarehe 26 kule ni 25 ndio mana wakapewa kibali cha tarehe 25
 
Msemaji wa jeshi la polisi kawaambieni wazazi na walezi wote wawakanye watoto wao maana wasije wakalaumiana baadae na nyie hamuelewi
 
Back
Top Bottom