josegorofani
Senior Member
- Aug 19, 2015
- 197
- 69
Changamkia fursa na wwe leo maana siku imebaki leo tu.Jamaa kachangamkia fursa ya kuwekeza katika hisa za vodacom ili zije kuwanufaisha kwa maisha ya baadae.
Changamkia fursa na wwe leo maana siku imebaki leo tu.Jamaa kachangamkia fursa ya kuwekeza katika hisa za vodacom ili zije kuwanufaisha kwa maisha ya baadae.
Tatizo la wanawake baadhi ukishafunga naye ndoa wanataka wawe sehemu ya maamuzi ya mume hata kusaidia ndugu usipompa taarifaHapana mkuu, inawezekana mke alimsomesha jamaa ndio maana Anataka kucontrol mshahara wa jamaa
Kama ni mimi hakuna ndoa tena hapo hata shuke malaika msamaha nooooo.ameyaweka peupe hamna ndoa tena hapo. Yahitaji huruma ya Muumba kuirejesha ndoa hiyo ktk mapenzi ya mwanzo
Kirahisirahisi tu uhame. Nakufuata hukohuko na wanaoKiboo si kila mtu ana mshahara wake.
mumu kaamua kuwekeza, mke anaitaka fweza ingekuwa mimi ningehama nyumba alafu ningetafuta dogo dogo nioe kwa muda
Kirahisirahisi tu uhame. Nakufuata hukohuko na wanao
Wanandoa wawili Kiagata Majiyatanga (28) na Justina Mapalala (24) wakazi wa Mtaa wa mji wa Zamani Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamejikuta wakiwaacha watu hoi baada ya Mume kupeleka hela ya Mshahara katika hisa za Vodacom.
Wananchi wa Mpanda walijukuta vinywa wazi baada ya wanandoa hao kufikishana mbele ya hakimu mkaazi mke akimlalamikia mkewe kuwa amekwenda kununua hisa bila makubaliano n