soko la monduli tarehe 1 January 2015 limedoda kwa kukosa wateja! EL amekuwa na kawaida kuona wapiga kura wanaomuunga mkono kwenda monduli kila tarehe 1 January kula nyama!
Mwaka huu wajumbe wameshtuka baada ya Pinda kutangaza nia imebidi aamurishe wapambe wake watoe ahadi za kuomba wawakilishi wa kila kanda kutoa motisha kwa watakaojiorodhesha kwenda monduli January mwakani.
Kila mjumbe atagaramiwa nauli, kula na kulala bure njiani na monduli na mwisho wa sherehe wajumbe watapewa laki5@ na wanec 2m@! Wawakilshi wa kanda ziwa Chegeni, Karamagi na Vedastus Mathayo. Kanda ya kati Msindai.
Kanda ya magharibi kilumbe na serukamba. Kanda ya Pwani mtemvu, bureta na Nkya. Kanda ya nyanda za juu mwaitenda kanda ya kaskazini mwenyekiti CCM arusha. Zanzibar Hamis Mbeto Mambo!
Mwaka huu wajumbe wameshtuka baada ya Pinda kutangaza nia imebidi aamurishe wapambe wake watoe ahadi za kuomba wawakilishi wa kila kanda kutoa motisha kwa watakaojiorodhesha kwenda monduli January mwakani.
Kila mjumbe atagaramiwa nauli, kula na kulala bure njiani na monduli na mwisho wa sherehe wajumbe watapewa laki5@ na wanec 2m@! Wawakilshi wa kanda ziwa Chegeni, Karamagi na Vedastus Mathayo. Kanda ya kati Msindai.
Kanda ya magharibi kilumbe na serukamba. Kanda ya Pwani mtemvu, bureta na Nkya. Kanda ya nyanda za juu mwaitenda kanda ya kaskazini mwenyekiti CCM arusha. Zanzibar Hamis Mbeto Mambo!