Nimeona tangazo la kuuzwa hisa za crdb. Kilichonishitua ni bei ya hisa hizo. Nakumbuka hisa za crdb mwanzoni ziliuzwa bei kubwa (sikumbuki bei lakini ilikuwa zaidi ya 1000/ hivi) lakini hii bei ya leo ( Tsh 150/ kwa hisa moja) inaacha maswali mengi kichwani. Kwa wanaojua nini kinaendelea nyuma ya pazia tujulisheni mapema.