Hisa za airtel, TTCL kimenuka

Hisa za airtel, TTCL kimenuka

Data na Biti

Member
Joined
Apr 4, 2011
Posts
40
Reaction score
13
Hivi naomba mnijulishe hivi hisa asilima 35 ambazo serikali ilisema itazichukua kutoka Bharti airtel kabla ya mwisho wa mwezi uliopita wameshazichukua.....maana huu mwezi wa pili sijapata update yoyote kuhusu hii ishu....au kuna kudanganyana maana waziri alisema mwenyewe...au ndio style ya #hapakazitu
 
Hakuna tija yoyote kurudisha hizo hisa. Hiyo hela bora wafanyie mambo mengine ya msingi
 
Aisee Mkuu!
Kwani wewe ulishawahi kuwaamini CCM?
 
Nimetokea kuamini kasi yake mzee wa #hapakazitu.. Cjui kasi yake ndo inapungua#lwenyi
 
mtoa maada usiwe unakurupuka kibwege hivo. topic yako na uharo huo tofauti. unaandika kama magazeti ya udaku.
 
Huna taarifa sasa kimenukaje wakati you are clueless
 
Kwani Hisa zilikuwa hazijachukuliwa wakati walishalipwa billion 14 zao
 
Wasije wakazima mitambo MB zangu hazijaisha watakiona cha Moto Airtel nawapa taarifa mapema.
 
093a82648a06732a1da19706b093f4c2.jpg
 
Back
Top Bottom