JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
- Thread starter
- #21
Tatu said:They (US/Kenya) have their priorities.
What's our (Tanzania) priorities?
What's Kenya/US get in return as you know, there's no free lunch!
Tatu,
..kuanzia miaka ya 1990 tulisema Tanzania itaanza kutekeleza diplomasia ya UCHUMI na BIASHARA.
..naona hii ziara tuichukulie kama changamoto. kama tunataka kuwa vijogoo wa diplomasia hiyo basi tuya-engage mataifa mengine ktk masuala kama kilimo, biashara,utalii, etc.