Hillary Clinton Admits the U.S. Government Created al-Qaeda

zomba,

..nothing new there. yote hayo yalisababishwa na Ronald Reagan.

..ndiyo maana wengine tunasema Ronald Reagan alikuwa kilaza, bora hata Nixon na Jimmy Carter.

..kitu cha ajabu kabisa ni kwamba Wamarekani wa kawaida wakisikia habari hizo wanabaki midomo wazi!!!
 
Last edited by a moderator:
Kuanzia dakika ya tatu pia Musharraf anajieleza vizuri. US inapojifanya inapiga vita vikundi vya siasa kali.

 
Last edited by a moderator:
Hiyo staili wanayoitumia hawa wamarekani inatwa balance of power huwezi kutawala sehemu yoyote ile pasipo kuwavueruga kwa njia yoyote ile wale uliotarajia kuwa tawala kwa nchi za kiarbu udhaifu wao ni dini, afrika sisi ni njaa, maradhi, elimu na umasikini wenzetu wazungu wao ni power pamoja a mali asili. Ukitaka kumjua mwamerika ni nani tuanze kuchimba mafuta, uranium pamoja na dhahabu nyeupe(platinum).
 
Back
Top Bottom