Hillary baada ya uchaguzi

Hillary baada ya uchaguzi

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
98,142
Reaction score
143,749
Hii picha imepigwa siku moja baada ya uchaguzi na mdada ambaye alikuwa akitembea kwenye milima huko Chappaqua, NY.

Bill na Hillary walikuwa wakitembea na mbwa walipokutana na huyo mdada aliyeibandika hiyo picha kwenye mtandao wa Facebook.

I definitely feel her pain. Losing hurts especially in the way in which she lost.

Couldn't help but feel a pang of pity for her.

proxy.jpg


14963127_10100230623216143_4570528025661756648_n.jpg
 
Hii picha imepigwa siku moja baada ya uchaguzi na mdada ambaye alikuwa akitembea kwenye milima huko Chappaqua, NY.

Bill na Hillary walikuwa wakitembea na mbwa walipokutana na huyo mdada aliyeibandika hiyo picha kwenye mtandao wa Facebook.

I definitely feel her pain. Losing hurts especially in the way in which she lost.

Couldn't help but feel a pang of pity for her.

proxy.jpg


14963127_10100230623216143_4570528025661756648_n.jpg


It surely hurts, particularly having elicited so much hope, so much promise! But she is a strong woman, she shall overcome and move on, We wish her a quick recovery and a softer landing. God bless you Hillary.
 
Hawa jamaa system za maisha ni tofauti nasisi......
Hawa siasa sio uadui kma sie huku...
Mshindi anampongeza thn maisha yanaebdelea nahiyo ni kwasababu free and fair election......
Sisi sasa akina kiiza besyige ni mtiti na moto....lazima mtu atiwe jera ndo mshindi anaaapishwa...nahii bcoz no free and fair elections....lazma mtu adai haki yake kwa forces
 
It surely hurts, particularly having elicited so much hope, so much promise! But she is a strong woman, she shall overcome and move on, We wish her a quick recovery and a softer landing. God bless you Hillary.
Yeah...she'll get over it.

But damn....losing sucks man.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Hawa jamaa system za maisha ni tofauti nasisi......
Hawa siasa sio uadui kma sie huku...
Mshindi anampongeza thn maisha yanaebdelea nahiyo ni kwasababu free and fair election......
Sisi sasa akina kiiza besyige ni mtiti na moto....lazima mtu atiwe jera ndo mshindi anaaapishwa...nahii bcoz no free and fair elections....lazma mtu adai haki yake kwa forces
Hahaha, Kiza Basigye kala kona Uganda baada ya kuona Mseven anamletea mapicha picha.
 
I guess, she knew who is going to be elected(Trump) ,thats why she is normal
 
Ulinzi atakuwa nao hadi siku yake ya mwisho.

Hapo hawapo tu kwenye picha lakini wapo karibu naye.
Una maana wagombea walioshindwa huwa wanaendelea kulindwa na secret service mpaka mwisho wa maisha yao!? Nini hasa mantiki ya USA kufanya hivyo.
 
Una maana wagombea walioshindwa huwa wanaendelea kulindwa na secret service mpaka mwisho wa maisha yao!? Nini hasa mantiki ya USA kufanya hivyo.
Kumbuka pia kwamba huyu ni mke wa rais mstaafu. Naamini yeye na mumewe ni lazima walindwe mpaka mwisho wa maisha yao.
 
Back
Top Bottom