Hili tangazo liko sawa kweli?

Hili tangazo liko sawa kweli?

Eti mtoto amsaidie mama kuhusu uzazi wa mpango duh
 
Mimi naona ni sawa kwa vile nao wanaonufaika na uzazi wa mpango sio vibaya wakawa na wawakilishi wao kuliko kusemewa hata kama kuna director amefanikisha hilo
 
Wamekosea sana kuwahusisha watoto katika mambo ya uzazi wa mpango.
 
Kuna tangazo huwa linarushwa ITV kabla ya taarifa ya saa mbili usiku, tangazo hili linahusu Uzazi mpango, tatizo langu sio katika ujumbe wa tangazo hili bali ni wahusika waliotumika. Wametumika watoto wadogo ambao wana'act kama wapiga kampeni na wanataka kuwaambia wazazi watumie Uzazi wa mpango.

Wadau hii ni sawa? Mtoto- hasa wa umri kama uliotumika katika tangazo hili- amshauri mzazi kuhusu uzazi?
Linaniudhi sana tangazo hili. Hao watoto eti wanaotaka wazazi zao wawe ma uzazi wa mpango....najiuliza wangefanya hivyo hao watoto wangezaliwa?
 
Mimi Majuto jamani.......uwiii.......natamani kuvunja TV......na wale wa magodoro.......nakufwaaaaaaaa........vereeee boring.....
 
Mimi Majuto jamani.......uwiii.......natamani kuvunja TV......na wale wa magodoro.......nakufwaaaaaaaa........vereeee boring.....

Matangazo yasiyo na ubunifu ka hayo huwezi ona kwe tv za Kenya.
 
Kuna tangazo huwa linarushwa ITV kabla ya taarifa ya saa mbili usiku, tangazo hili linahusu Uzazi mpango, tatizo langu sio katika ujumbe wa tangazo hili bali ni wahusika waliotumika. Wametumika watoto wadogo ambao wana'act kama wapiga kampeni na wanataka kuwaambia wazazi watumie Uzazi wa mpango.

Wadau hii ni sawa? Mtoto- hasa wa umri kama uliotumika katika tangazo hili- amshauri mzazi kuhusu uzazi?
Ndo utandawazi huo, we hujaona tangazo la jini kwa hisani ya comfy? Wiki hizi wanatumiahadi majini Kisangani kwenye TV!
 
Mimi Majuto jamani.......uwiii.......natamani kuvunja TV......na wale wa magodoro.......nakufwaaaaaaaa........vereeee boring.....

Hahahaah mzee mzima anashangilia mpk kaptula inamtoka
 
Back
Top Bottom