nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,692
- 14,079
Kwa hisani ya watu wa Marekani.
Naaum kuelekea ndoa ya jinsia moja
Kwa hisani ya watu wa Marekani.
Usiishie kubadili channel tu, badili hadi serikali.mimi huwa nikiliona tu nabadilisha channel
Wewe unatumia king'amuzi gani kisicho kuwa na ITV?Kwani hao watoto wanakadiriwa kuwa na umri gani? Wengine hatuna access na hicho kituo kilichotajwa
Wewe unatumia king'amuzi gani kisicho kuwa na ITV?
Mkuu wewe uko nchi gani?Maana ITV wako hadi DSTV!Sio nchi zote ambazo ITV inapatikana mkuu
Mkuu wewe uko nchi gani?Maana ITV wako hadi DSTV!
Pole mkuu inakubidi uwe karibu na jf kupata kinacho endelea nchini! Karibu!Sweden. Sina dstv natumia decorder za Scandinavia mkuu
Pole mkuu inakubidi uwe karibu na jf kupata kinacho endelea nchini! Karibu!
Kama ni kuhusu umri wa watoto ni kati ya miaka 5-7:Asante, niko nayo karibu siku zote. Ila hujajibu swali langu la kwanza bado
Kama ni kuhusu umri wa watoto ni kati ya miaka 5-7:
Kwani hao watoto wanakadiriwa kuwa na umri gani? Wengine hatuna access na hicho kituo kilichotajwa
Linaniudhi sana tangazo hili. Hao watoto eti wanaotaka wazazi zao wawe ma uzazi wa mpango....najiuliza wangefanya hivyo hao watoto wangezaliwa?Kuna tangazo huwa linarushwa ITV kabla ya taarifa ya saa mbili usiku, tangazo hili linahusu Uzazi mpango, tatizo langu sio katika ujumbe wa tangazo hili bali ni wahusika waliotumika. Wametumika watoto wadogo ambao wana'act kama wapiga kampeni na wanataka kuwaambia wazazi watumie Uzazi wa mpango.
Wadau hii ni sawa? Mtoto- hasa wa umri kama uliotumika katika tangazo hili- amshauri mzazi kuhusu uzazi?
Mimi Majuto jamani.......uwiii.......natamani kuvunja TV......na wale wa magodoro.......nakufwaaaaaaaa........vereeee boring.....
Ndo utandawazi huo, we hujaona tangazo la jini kwa hisani ya comfy? Wiki hizi wanatumiahadi majini Kisangani kwenye TV!Kuna tangazo huwa linarushwa ITV kabla ya taarifa ya saa mbili usiku, tangazo hili linahusu Uzazi mpango, tatizo langu sio katika ujumbe wa tangazo hili bali ni wahusika waliotumika. Wametumika watoto wadogo ambao wana'act kama wapiga kampeni na wanataka kuwaambia wazazi watumie Uzazi wa mpango.
Wadau hii ni sawa? Mtoto- hasa wa umri kama uliotumika katika tangazo hili- amshauri mzazi kuhusu uzazi?
Mimi Majuto jamani.......uwiii.......natamani kuvunja TV......na wale wa magodoro.......nakufwaaaaaaaa........vereeee boring.....