Hili silielewi.

Hili silielewi.

hapa wacha nipite..... Niwaache wenye privacy zenu...sie wengine as long as twalala bila pichu na ni wanandoa hatunaga privacy..........
 
Wasalaam wapendwa.......
Niko hapa home baada ya kutoka kijiweni kutafuta riziki nimejipumzisha.,mara namuona mama mtoto wangu anatoka kuelekea sokon(sio mbali na home) huku simu kaiacha mezan.
Simu inaita mara kadhaa bila kupokelewa(sina kawaida ya kupokea simu ya mtu bila ridhaa yake) hii ni ktk juhudi za kutekeleza na kuilinda ile law of privacy kwenye mawasiliano ya simu.

Mara namuona mama mtoto anaingia na kapu la matunda na vitu vingine_namuambia simu imeita mara nyingi,analalamika eti kwanini sijapokea...eti sio vizuri ninavyofanya.

My take,..Je_ni sahihi kupokea simu ya mkeo/mumeo ikiita na kama yeye hayupo...?

wee sema unaogopa kuwa ukipokea basi automaticlly umemruhisu yeye apoke yako na hivyo ataona madudu unayofanya.....nilisemaga njia rahisi ya kumnasa asiye mwaminifu mwaache apome simu zako.
 
Ndoa nyingi zimevunjika kwa ajili ya kupokea simu au kusoma sms za wake au waume zetu. Kuwa makini katika hili.
 
Mmmh..! Ukitaka ndoa iwe na matatizo anzeni kupokeleana simu zenu.!!

Mh, nazidi kuwashangaa wale wasiokuwa na uhuru na simu za wapenzi wao, afu hata baadhi ya wanawake nao eti hawapendi waume/wapenzi kuwa na uhuru na simu zao. IN SHORT KAMA WEWE UNAUSIRI NA SIMU YAKO KWA MPENZI WAKO WEWE SI MWAMINIFU!!
 
hapa wacha nipite..... Niwaache wenye privacy zenu...sie wengine as long as twalala bila pichu na ni wanandoa hatunaga privacy..........

sawa_nimekupata vema kabisa.
 
wee sema unaogopa kuwa ukipokea basi automaticlly umemruhisu yeye apoke yako na hivyo ataona madudu unayofanya.....nilisemaga njia rahisi ya kumnasa asiye mwaminifu mwaache apome simu zako.

ahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa_hili nalo neno.
 
Ndoa nyingi zimevunjika kwa ajili ya kupokea simu au kusoma sms za wake au waume zetu. Kuwa makini katika hili.

sawa kabisa _bahati mbaya ni kwamba kweli sina tabia hiyo.
 
Mh, nazidi kuwashangaa wale wasiokuwa na uhuru na simu za wapenzi wao, afu hata baadhi ya wanawake nao eti hawapendi waume/wapenzi kuwa na uhuru na simu zao. IN SHORT KAMA WEWE UNAUSIRI NA SIMU YAKO KWA MPENZI WAKO WEWE SI MWAMINIFU!!


noted....
 
Huyo alikutega na alimwambia buzi lake limpe simu demu, na ungepokea ungesikia sauti ya demu na ungeendelea kumwamini.
Ivi lisaa zima simu ipo mezani bila kupigwa, si ungemwona mkeo sio mzuri!
Kwa taarifa yako, mabuzi wanapewaga namba ya line nyingine ambayo wewe huijui.
 
Huyo alikutega na alimwambia buzi lake limpe simu demu, na ungepokea ungesikia sauti ya demu na ungeendelea kumwamini.
Ivi lisaa zima simu ipo mezani bila kupigwa, si ungemwona mkeo sio mzuri!
Kwa taarifa yako, mabuzi wanapewaga namba ya line nyingine ambayo wewe huijui.

ahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa_lo!
 
Mh, nazidi kuwashangaa wale wasiokuwa na uhuru na simu za wapenzi wao, afu hata baadhi ya wanawake nao eti hawapendi waume/wapenzi kuwa na uhuru na simu zao. IN SHORT KAMA WEWE UNAUSIRI NA SIMU YAKO KWA MPENZI WAKO WEWE SI MWAMINIFU!!

Unajua nini? Hii ni kuepusha matatizo yasiyo kuwa ya lazima..! Sio suala la kukosa uminifu ndugu yangu...!!

Tumeona ndoa nyingi ambazo ziko matatani na nyingine kuvunjika kwa sababu ya simu..! Kuepusha hayo, ni bora kila mtu akawa busy na simu inayomuhusu ili kuepusha zogo..!
 
Wewe unajihangaisha kumuelewa mkeo? Unajipa kazi ya ziada ambayo hukuumbiwa. Kazi yako ni kumpenda tuuu, bhaaaas!
Halafu unamdaka na mada ya kuwa simu yake iliita, kwani hairekodi missed calls? Si angeangalia mwenyewe akaona. Manake ulitegemea akujibu vipi suala lako? Acha uchokonovu. Shaurilo!

heeh! aisee!!!!!!!!!
 
Kuna watu wanaanza kuongea kabla hajahakikisha kuwa aliyempigia ndio mwenyewe au niseme wrong number. Kwa mfano "mpenzi yale mavitu ya jana si mchezo leo vipi?". Mpango wa kupokea simu ya mwenza NOMA.!
 
Husichoelewa kitu gani?
Kama mwenyewe kakuruhusu upoke siku ingine pokea.
Kama hautaki kupokea basi mwambie uwezi kuongea na mashoga zake.
Au haupendi kupokea simu ya mtu mwingine.
 
Husichoelewa kitu gani?
Kama mwenyewe kakuruhusu upoke siku ingine pokea.
Kama hautaki kupokea basi mwambie uwezi kuongea na mashoga zake.
Au haupendi kupokea simu ya mtu mwingine.[/QUOTE]

Yeayh_sipendi kupokea simu ya mtu mwingine.
 
Back
Top Bottom