BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
hapa wacha nipite..... Niwaache wenye privacy zenu...sie wengine as long as twalala bila pichu na ni wanandoa hatunaga privacy..........
Wasalaam wapendwa.......
Niko hapa home baada ya kutoka kijiweni kutafuta riziki nimejipumzisha.,mara namuona mama mtoto wangu anatoka kuelekea sokon(sio mbali na home) huku simu kaiacha mezan.
Simu inaita mara kadhaa bila kupokelewa(sina kawaida ya kupokea simu ya mtu bila ridhaa yake) hii ni ktk juhudi za kutekeleza na kuilinda ile law of privacy kwenye mawasiliano ya simu.
Mara namuona mama mtoto anaingia na kapu la matunda na vitu vingine_namuambia simu imeita mara nyingi,analalamika eti kwanini sijapokea...eti sio vizuri ninavyofanya.
My take,..Je_ni sahihi kupokea simu ya mkeo/mumeo ikiita na kama yeye hayupo...?
Mmmh..! Ukitaka ndoa iwe na matatizo anzeni kupokeleana simu zenu.!!
wee sema unaogopa kuwa ukipokea basi automaticlly umemruhisu yeye apoke yako na hivyo ataona madudu unayofanya.....nilisemaga njia rahisi ya kumnasa asiye mwaminifu mwaache apome simu zako.
Mh, nazidi kuwashangaa wale wasiokuwa na uhuru na simu za wapenzi wao, afu hata baadhi ya wanawake nao eti hawapendi waume/wapenzi kuwa na uhuru na simu zao. IN SHORT KAMA WEWE UNAUSIRI NA SIMU YAKO KWA MPENZI WAKO WEWE SI MWAMINIFU!!
Huyo alikutega na alimwambia buzi lake limpe simu demu, na ungepokea ungesikia sauti ya demu na ungeendelea kumwamini.
Ivi lisaa zima simu ipo mezani bila kupigwa, si ungemwona mkeo sio mzuri!
Kwa taarifa yako, mabuzi wanapewaga namba ya line nyingine ambayo wewe huijui.
Mh, nazidi kuwashangaa wale wasiokuwa na uhuru na simu za wapenzi wao, afu hata baadhi ya wanawake nao eti hawapendi waume/wapenzi kuwa na uhuru na simu zao. IN SHORT KAMA WEWE UNAUSIRI NA SIMU YAKO KWA MPENZI WAKO WEWE SI MWAMINIFU!!
Wewe unajihangaisha kumuelewa mkeo? Unajipa kazi ya ziada ambayo hukuumbiwa. Kazi yako ni kumpenda tuuu, bhaaaas!
Halafu unamdaka na mada ya kuwa simu yake iliita, kwani hairekodi missed calls? Si angeangalia mwenyewe akaona. Manake ulitegemea akujibu vipi suala lako? Acha uchokonovu. Shaurilo!