Aliyechaguliwa na Mungu
Thubutu, labda na shetani. MUNGU hawezi tuchagulia watu wanopiga ESCROW, EPA, RICHMOND na sasa wanaua viwanda vya sukari, haiwezekani kabisa!
Watu ambao wanatumia polisi na usalama wa taifa kuua waandishi nakutesa wanaotaofautiana nao ni chaguo la shetani. Ndio hawa tulio nao sasa.