Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,598
- 8,439
- Thread starter
- #21
Inategemeana na msanii mwenyeww,,,,huyo aslay kaangushwa na marioo pale cloudz....so Harmo ni mtu mwingine kabisa kwa hao madogo woteClouds wanachojua wanakutumia baadae wanakutema Yuko wapi aslay? Sikuizi nimeona hata ngoma za kiba hawapigi.Ila safari hii clouds wameshikwa pabaya na wasafi naona kitendo Cha mondy kuwasajili kitenge na edo kumwembe kimewaharibu kisaikolojia