Kijana Msomali
Member
- May 10, 2012
- 92
- 71
- Thread starter
- #41
Kulinda maadili yako na jamii mpotezee maana litakuwa lisugar mummy ilo maana mambo gani ya kuitana Boy!
Hata Mimi Nimeshangaaa....
Kulinda maadili yako na jamii mpotezee maana litakuwa lisugar mummy ilo maana mambo gani ya kuitana Boy!
Msomali dear swagga za kike nitazitoa wapi mimi mtu mzima? Hizo za kike nimesahau hata namna ya kuzifanya... Na hata ningekuwa nazo shemeji yako mkali kweli kweli yaani... Lol!
AshaDii ni kweli kabisa !Nashukuru umeniruhusu... Nilitaka tu kujua ni mahusiano ya aina gani wapenda kwa maana unapenda nani awe na upper say na vitendo? Are you OK ukiwa mkononi kwa mwanamke ili mradi tu ni mzuri na ana uwezo? Kukulipia bill yako sio tatizo, tatizo linakuja;
- Kakuita 'boy' ina maana kakuona ni mvulana tu sio mwanaume, yaani bado mtoto.
- Inaonekana alikuja kuketi ulipo sababu aliona unafaa kutumika. Yaani utamfaa kwa tasnia yake hio ya movie... Akajua kabisa akiketi karibu na wewe atapata tu attention yako na ndio maana kakuachia Biz card yake.
- Inaonesha yupo step ahead of you kuliko wewe! Lol.
Ndio maana nikasema kuwa nahofia kuwa nitauwa vibe yako... Sidhani kama hilo ni zari la mentali na kama ni hivo basi possibility ni ndogo sana. Uzuri wa hili naweza kuwa nimekosea... hahaha!
Kumbe na mimi nilimwelewa kama ulivyomwelewa wewe! Hilo zali cjui anataka nini ,si zali la mwigizaji mbona huyu dada alikuwa wazi .....yaelekea ndugu huyu hana exposure kubwa na opposite sex.....kazana bana uigizaji unalipa unaweza kukutoa!Nashukuru umeniruhusu... Nilitaka tu kujua ni mahusiano ya aina gani wapenda kwa maana unapenda nani awe na upper say na vitendo? Are you OK ukiwa mkononi kwa mwanamke ili mradi tu ni mzuri na ana uwezo? Kukulipia bill yako sio tatizo, tatizo linakuja;
- Kakuita 'boy' ina maana kakuona ni mvulana tu sio mwanaume, yaani bado mtoto.
- Inaonekana alikuja kuketi ulipo sababu aliona unafaa kutumika. Yaani utamfaa kwa tasnia yake hio ya movie... Akajua kabisa akiketi karibu na wewe atapata tu attention yako na ndio maana kakuachia Biz card yake.
- Inaonesha yupo step ahead of you kuliko wewe! Lol.
Ndio maana nikasema kuwa nahofia kuwa nitauwa vibe yako... Sidhani kama hilo ni zari la mentali na kama ni hivo basi possibility ni ndogo sana. Uzuri wa hili naweza kuwa nimekosea... hahaha!