Hili ni tatizo gani,

Hili ni tatizo gani,

Hiii sasa ngumu me hata
Nkiwa job nataman nitoke
Nikapge mastory na washkaj
Dhaaa!!!

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Hayo uliyotendwa sahau na samehe uyaache yaende huwezi kuendelea mbele huku kila saa unaangalia ulipotoka, yameshapita hayana nafasi

Jifunze kila linalokutokea ni mitihani tu na hakuna linalodum milele,

Pia nahisi unahitaji councelling mkuu ikuweke sawa kiakili, ujue itafikia mahali utahitaji kua na family, au hujajiwekea mawazo hayo? Na je umejipangaje kuhusu hilo??

Nafsi zetu zimeumbiwa matamanio, kupenda na kusahau





Madame S

Signed by Madame S appreciation by Me
 
Back
Top Bottom