Hili ni tatizo gani,

Hili ni tatizo gani,

BIGstallion

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2016
Posts
6,324
Reaction score
7,919
Habari za muda huu wana MMU

Mimi Nina tatizo moja siwez kukaa na watu,naitaj kukaa mwenyew zaidi kuliko kua na MTU yoyote, nimepitia tragedies nying hasa mapenzi,..ata mpenzi Wang wa sasa,amekata mawasiliano kabisa coz anajua simjali na kweli,hua sipigi simu hata wiki mbili,napenda sana kufanya kazi muda wote,siitaji closure na watu hasa kweny mapenzi,lakin ihusu kazi tu,..mwili umekufa ganzi kweny mapenzi,moyo unauliza kumbuka Yale ya nyuma,..afu hakuna MTU anaweza kuniekeza chochote kuhusu mapenzi nikamwelewa,..ni hayo tu naomba ushauri,nifany nn nibadilike,...

NB naweza kufanya kazi zangu masaa yote hata usiku,sina muda wa kuwaza mapenzi,
 
Habari za muda huu wana MMU

Mimi Nina tatizo moja siwez kukaa na watu,naitaj kukaa mwenyew zaidi kuliko kua na MTU yoyote, nimepitia tragedies nying hasa mapenzi,..ata mpenzi Wang wa sasa,amekata mawasiliano kabisa coz anajua simjali na kweli,hua sipigi simu hata wiki mbili,napenda sana kufanya kazi muda wote,siitaji closure na watu hasa kweny mapenzi,lakin ihusu kazi tu,..mwili umekufa ganzi kweny mapenzi,moyo unauliza kumbuka Yale ya nyuma,..afu hakuna MTU anaweza kuniekeza chochote kuhusu mapenzi nikamwelewa,..ni hayo tu naomba ushauri,nifany nn nibadilike,...

NB naweza kufanya kazi zangu masaa yote hata usiku,sina muda wa kuwaza mapenzi,
Hongera zako,wenzio wanashindwa kazi kisa mapenzi.
Au ni member wa CHAPUTA??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo uliyotendwa sahau na samehe uyaache yaende huwezi kuendelea mbele huku kila saa unaangalia ulipotoka, yameshapita hayana nafasi

Jifunze kila linalokutokea ni mitihani tu na hakuna linalodum milele,

Pia nahisi unahitaji councelling mkuu ikuweke sawa kiakili, ujue itafikia mahali utahitaji kua na family, au hujajiwekea mawazo hayo? Na je umejipangaje kuhusu hilo??

Nafsi zetu zimeumbiwa matamanio, kupenda na kusahau





Madame S
 
Kabla ya kuanzisha uhusiano mpya unahitaji kuwa huru,kujifungua toka kwenye mahusiano yaliyopita ,sasa Inaonyesha dhahiri bado uko kifungoni kwa mahusiano yaliyopita
 
Usifanye kufuru kwa maneno yako kutu,
Muombe Mungu akusaidie kwani kila jambo linawezekana mbele za Mungu mwenyezi.
 
Back
Top Bottom