Hili ndio eneo pekee mkuu wa mkoa hawezi kulifikia eneo lake la kazi bila kukatisha mkoa mwingine

Kukosekana kwa mkuu wa wilaya ambaye kimsingi ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya inaweza ikawa ndio sababu ya kuzorota kwa amani?Ila tuangalie upande wa pili, hawa wakuu wa wilaya wapo busy katika kurudisha nyuma na kuzoofisha upinzani.Kibiti ni janga na wa kulaumiwa ni serikali ya CCM.
Wateule wameisha hadi DC akosekane Kibiti? Mbona Wapo kina Ngusa, tabasamu, Shonza, Ghasia? Wateuliwe waende Kibiti. Hapa Kazi tuu!
 
wengi hawakua wakilijua hili

Sent from my ZUK Z2131 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wa wilaya ya kibiti yupo jaman! Anaitwa kifu gullam Hussein

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: OTG
Mkuu upo shallow sana aisee hakuna Dar Es Salaam capital E ni wrong, Go back to school bro
Inaonekana wewe ndio upo shallow zaidi bro, nani kakuambia kua Dar Es Salaam yenye Capital E ni wrong?
 
Kukosekana kwa mkuu wa wilaya ambaye kimsingi ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya inaweza ikawa ndio sababu ya kuzorota kwa amani?Ila tuangalie upande wa pili, hawa wakuu wa wilaya wapo busy katika kurudisha nyuma na kuzoofisha upinzani.Kibiti ni janga na wa kulaumiwa ni serikali ya CCM.

Ndiooooooooo Tena ndiooooooooo
 
Salaam..!
Habari zenu.wana bodi...
Wananchi wengi wa Tanzania wamelazishwa na vyombo vya habari kuijua kibiti hasa kwa sifa ya mauaji yanayoendelea. Bi nafsi nalaani sana tuko hilo hasa kumwaga damu ya mtu bila hatia ,tena ni mzazi pengine nitegemeo kwa familia yake lakin pia nikiongozi ambaye kwa namna moja Ama nyingine au kwa sababu hii au ile nitegemeo la taifa hili la WANYONYWAJI.

ninacho taka ni seme kuhusu kibiti hiki!
Kibiti niwilaya NYONGE kihistoria.
Walio soma kibiti hasa miaka ya hivi karibun watanisadikishia hili.
Ndugu wanabodi kabla kibiti haijawa wilaya ilikuwa ndani ya wilaya ya RUFIJI.
Mheshimiwa sana alipoingia madarakani ilikuwa TAYARI rufiji na kibiti vimegawanywa NAMTANGULIZI WAKE kuwa wilaya tofauti lakin pamoja na hivo katika KUPANGA NI KUCHAGUA NA PANGA PANGUA hakuweza kuipa kibiti mkuu wa wilaya.
Unapoinyima kibiti muwakilishi wako kwenye eneolile maanayake unachelewesha maendeleo.
Ndugu wanabodi.
Mkuu wa mkoa wa pwani hawezi kutoka sehemu ya eneo lake kwenda lingine mpaka spite mkoa wa daresalam.
Namaanisha huwezi toka kibaha kwenda kibiti isipokuwa lazima avuke mkoa wa daresalam .
Tafsiri yake nini,
muwakilishi wa raisi anapokuwa mbali na jamii ndio maendeleo yanavochelewa.
Nasikitika msemo usemao pwani wavivu hawasomi bila serikali kutumia jitihada kuleta mabdiliko katika hili wakati wanajua kuwa wao nimiongoni mwa sababu.

Ndugu wanabodi naomba kuwasilisha.
Mkuu naomba nipinge hoja yako kuwa kibiti haina mkuu wa Wilaya. Kibiti inaye anaitwa Gulamu Hussein kifu

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
Kabla ya mwaka 1972 Dar es salaam ilikuwa ni sehemu na makao makuu ya mkoa wa Pwani. Hivyo Dar ilikuwa ni kiungo cha kuunganiaha wilaya zote za mkoa wa Pwani (Bagamoyo-kisarawe-Rufiji na Mafia). Wilaya ya Kibaha iliundwa kwa kumegwa kwa Wilaya za Kisarawe na Bagamoyo na kufanywa makao makuu mapya ya mkoa wa Pwani. Baadae Mkuranga nao ikamegwa toka Kisarawe na Kibiti toka Rufiji.
Kutokana na asili hiyo ya Kijiografia kwa sasa Pwani bado tegemezi kwa Dar kama kiungo.

Kunahitajika jitihada za makusudi kujenga barabara itakayounganisha wilaya zote za mkoa wa Pwani na makao makuu ya mkoa. (Bagamoyo➡ Kibaha ➡ Kisarawe ➡ Mkuranga ➡ Rufiji ➡Kibiti)
Kwa mtiririko huu bora makao makuu ya mkoa yangekuwa Kisarawe....!!
 
Sio kwel,,kama hujui njia sema tukuelekeze,akiamua kupita bila kuikanyaga dar inawezekana kabsa sema tu atazunguka sana,bt sio kwamba njia lazima apitie dar.
 
nimekusoma, hongereni maana sasa mmepanda daraja, baada ya kucheleweshwa kupewa DC sasa mmepewa mkoa wa kipolisi. mmewapiku wakurya, sasa maendeleo yatakuja mbiyo
 
Tuwekee na ramani tuone.

Na kwani shida haswa ni nini kwako?

Na unataka iweje? Yaani nini unataka kuona kinafanyika?
Mkuu uko karibu na Le Field Marshal muombe ahamie kule Pwani kwani pamoja na Ubashite wake kiutendaji ni mzuri ashughulike na wale wehu wa Kibiti
 
Salaam..!
Habari zenu.wana bodi...

Wananchi wengi wa Tanzania wamelazishwa na vyombo vya habari kuijua Kibiti hasa kwa sifa ya mauaji yanayoendelea. Bi nafsi nalaani sana tuko hilo hasa kumwaga damu ya mtu bila hatia ,tena ni mzazi pengine nitegemeo kwa familia yake lakini pia nikiongozi ambaye kwa namna moja Ama nyingine au kwa sababu hii au ile nitegemeo la taifa hili la WANYONYWAJI.

Ninachotaka niseme kuhusu Kibiti hiki! Kibiti ni wilaya nyonge kihistoria.
Waliosoma Kibiti hasa miaka ya hivi karibuni watanisadikishia hili.
Ndugu wanabodi kabla Kibiti haijawa wilaya ilikuwa ndani ya wilaya ya Rufiji.

Mheshimiwa sana alipoingia madarakani ilikuwa tayari rufiji na Kibiti vimegawanywa na mtangulizi wake kuwa wilaya tofauti lakini pamoja na hivyo katika KUPANGA NI KUCHAGUA NA PANGA PANGUA hakuweza kuipa Kibiti mkuu wa wilaya.

Unapoinyima Kibiti muwakilishi wako kwenye eneo lile maana yake unachelewesha maendeleo.

Ndugu wanabodi,
Mkuu wa mkoa wa Pwani hawezi kutoka sehemu ya eneo lake kwenda lingine mpaka apite mkoa wa Dar e Salaam.

Namaanisha huwezi toka Kibaha kwenda Kibiti isipokuwa lazima avuke mkoa wa Dar es Salaam.

Tafsiri yake nini,
Muwakilishi wa Rais anapokuwa mbali na jamii ndio maendeleo yanavochelewa. Nasikitika msemo usemao pwani wavivu hawasomi bila Serikali kutumia jitihada kuleta mabdiliko katika hili wakati wanajua kuwa wao ni miongoni mwa sababu.

Ndugu wanabodi naomba kuwasilisha.
Kibaha-kisarawe-msanga ngongere-mkuluili-mkamba-kimanzichana to kibiti,hapo Dar haijaguswa mkuu

Sent from my Phantom6-Plus using JamiiForums mobile app
 
Kama unafuata Rami ni lazima kupita Dar, ila ipo njia ya ndani kwa ndani, kutoka kisarawe mpaka mkuranga
 
Back
Top Bottom