Jelavic
Senior Member
- Dec 28, 2016
- 180
- 380
Salaam..!
Habari zenu.wana bodi...
Wananchi wengi wa Tanzania wamelazishwa na vyombo vya habari kuijua Kibiti hasa kwa sifa ya mauaji yanayoendelea. Bi nafsi nalaani sana tuko hilo hasa kumwaga damu ya mtu bila hatia ,tena ni mzazi pengine nitegemeo kwa familia yake lakini pia nikiongozi ambaye kwa namna moja Ama nyingine au kwa sababu hii au ile nitegemeo la taifa hili la WANYONYWAJI.
Ninachotaka niseme kuhusu Kibiti hiki! Kibiti ni wilaya nyonge kihistoria.
Waliosoma Kibiti hasa miaka ya hivi karibuni watanisadikishia hili.
Ndugu wanabodi kabla Kibiti haijawa wilaya ilikuwa ndani ya wilaya ya Rufiji.
Mheshimiwa sana alipoingia madarakani ilikuwa tayari rufiji na Kibiti vimegawanywa na mtangulizi wake kuwa wilaya tofauti lakini pamoja na hivyo katika KUPANGA NI KUCHAGUA NA PANGA PANGUA hakuweza kuipa Kibiti mkuu wa wilaya.
Unapoinyima Kibiti muwakilishi wako kwenye eneo lile maana yake unachelewesha maendeleo.
Ndugu wanabodi,
Mkuu wa mkoa wa Pwani hawezi kutoka sehemu ya eneo lake kwenda lingine mpaka apite mkoa wa Dar e Salaam.
Namaanisha huwezi toka Kibaha kwenda Kibiti isipokuwa lazima avuke mkoa wa Dar es Salaam.
Tafsiri yake nini,
Muwakilishi wa Rais anapokuwa mbali na jamii ndio maendeleo yanavochelewa. Nasikitika msemo usemao pwani wavivu hawasomi bila Serikali kutumia jitihada kuleta mabdiliko katika hili wakati wanajua kuwa wao ni miongoni mwa sababu.
Ndugu wanabodi naomba kuwasilisha.
Habari zenu.wana bodi...
Wananchi wengi wa Tanzania wamelazishwa na vyombo vya habari kuijua Kibiti hasa kwa sifa ya mauaji yanayoendelea. Bi nafsi nalaani sana tuko hilo hasa kumwaga damu ya mtu bila hatia ,tena ni mzazi pengine nitegemeo kwa familia yake lakini pia nikiongozi ambaye kwa namna moja Ama nyingine au kwa sababu hii au ile nitegemeo la taifa hili la WANYONYWAJI.
Ninachotaka niseme kuhusu Kibiti hiki! Kibiti ni wilaya nyonge kihistoria.
Waliosoma Kibiti hasa miaka ya hivi karibuni watanisadikishia hili.
Ndugu wanabodi kabla Kibiti haijawa wilaya ilikuwa ndani ya wilaya ya Rufiji.
Mheshimiwa sana alipoingia madarakani ilikuwa tayari rufiji na Kibiti vimegawanywa na mtangulizi wake kuwa wilaya tofauti lakini pamoja na hivyo katika KUPANGA NI KUCHAGUA NA PANGA PANGUA hakuweza kuipa Kibiti mkuu wa wilaya.
Unapoinyima Kibiti muwakilishi wako kwenye eneo lile maana yake unachelewesha maendeleo.
Ndugu wanabodi,
Mkuu wa mkoa wa Pwani hawezi kutoka sehemu ya eneo lake kwenda lingine mpaka apite mkoa wa Dar e Salaam.
Namaanisha huwezi toka Kibaha kwenda Kibiti isipokuwa lazima avuke mkoa wa Dar es Salaam.
Tafsiri yake nini,
Muwakilishi wa Rais anapokuwa mbali na jamii ndio maendeleo yanavochelewa. Nasikitika msemo usemao pwani wavivu hawasomi bila Serikali kutumia jitihada kuleta mabdiliko katika hili wakati wanajua kuwa wao ni miongoni mwa sababu.
Ndugu wanabodi naomba kuwasilisha.